Dah ngoja nihamie mji mwingine...nn kimekushangaza mkuumkuu hii mij ya russia nashindwa hata kuitamka. na nimefika huku baada ya ku lock hizo dlc. ilamkuu hii ramani ya goba kuna kitu kimenishangaza.
[emoji23][emoji23] taa LWakuu nisaidieni namna yakuwasha taa,NA zile wiper maana mvua inanyesha vibaya huku
Ngoma nimeikubali hii.hapo vipi
f5 ni kuoneha ukubwa wa ramani yaani ikae aje iwe ya saiz ndogo ya kati au kubwaHarafu KWENYE ile function key f5 inasaidia nini?maana nilivyopress f1 ikaja table ndogo hivi inavikorokoro,sasa nikapress f5 ,baada ya dk5 computer ikazima ,ilivyowaka ikaniambia kwamba BIOS inedetect kwamba nimerequest hybernet ili kuprevent overheating,so ikawa inajizima kila nikiiwasha mpaka nilivyoifunga ile application ndio ikaacha
hilo ni but la kijeda yaani halina bonde wala mirimaNgoma nimeikubali hii.
Yah nimeyaona juzi pale Tazara yakiwa yamepakia silaha na wajeda wa Tanzania nadhani yalikuwa yanaelekea kusini.hilo ni but la kijeda yaani halina bonde wala mirima
daah nilisikia tu wala sikufuatilia hiyo inshu kwani huko kusini kwa sasa hali ikoje?Yah nimeyaona juzi pale Tazara yakiwa yamepakia silaha na wajeda wa Tanzania nadhani yalikuwa yanaelekea kusini.
Kuna wahuni naskia ni Islamic state wanazingua so nadhani ndiyo tunaenda kuwaadabisha cna uhakika ila kwa jinc ile convoy nilivyoiona itakuwa inaenda kule kule tu.daah nilisikia tu wala sikufuatilia hiyo inshu kwani huko kusini kwa sasa hali ikoje?
mungu awatangulie hawa jamaa ktk kazi yao na nchi iendelee kuwa salama hasa kwenye kipindi kama hikiKuna wahuni naskia ni Islamic state wanazingua so nadhani ndiyo tunaenda kuwaadabisha cna uhakika ila kwa jinc ile convoy nilivyoiona itakuwa inaenda kule kule tu.
ni vyema kwanza tukafahamu uwezo wa computer yako ili tukusaidieWakuu nikiplay hii game computer yangu inazima,
na kuna mnyama VOLVO GROBETROTER HP 750 WE HIKI CHUMA NI SHIDAWakuu mna-enjoy sio siri. Kuna scania nilikuwa nimeshikilia nimevaa headphone utafikiri nimeshikilia mtambo kabisa.
Nilikuwa nimeozoea kucheza game la ndege hadi nikawa najihisi rubani.
Nitajie jina nika download hyo game ya ndege mkuu km ni android.Wakuu mna-enjoy sio siri. Kuna scania nilikuwa nimeshikilia nimevaa headphone utafikiri nimeshikilia mtambo kabisa.
Nilikuwa nimeozoea kucheza game la ndege hadi nikawa najihisi rubani.
Inaunguruma iyo hatari, pia Renault nayo naipenda sana inaunguruma km yenyewe af uwe unaendesha manual dah.na kuna mnyama VOLVO GROBETROTER HP 750 WE HIKI CHUMA NI SHIDA
mwamba kanikumbusha kuna game frani hiv huko play store nila ndege lenyewe lilikuwa linahusu maswala ya usafilishaji mizigo ya kijeshi daah pindi nipo hewani nilijihisi pilotInaunguruma iyo hatari, pia Renault nayo naipenda sana inaunguruma km yenyewe af uwe unaendesha manual dah.
Naomba unitajie nikalichukue mkuu.mwamba kanikumbusha kuna game frani hiv huko play store nila ndege lenyewe lilikuwa linahusu maswala ya usafilishaji mizigo ya kijeshi daah pindi nipo hewani nilijihisi pilot
OK ila nilichezaga zamani kidogo ilikuwa free ila kwa sasa naona developer kabadilisha yaani anauza kwa dolaNaomba unitajie nikalichukue mkuu.