Hatari! Mimi huwa naunganisha na subwoofer, napiga moto halafu nazima, basi linazima kama mashine yenyewe kabisa linavyotikisika na kupumua pale mwishoni. Huwa nikifika kwenye mataa naheshimu kama nimeshikilia ndinga kabisa.na kuna mnyama VOLVO GROBETROTER HP 750 WE HIKI CHUMA NI SHIDA
Sas huu ndo mzigo kaka unaikuta had 160kph afu kuna kamlio fulan ka engine hadi rahana kuna mnyama VOLVO GROBETROTER HP 750 WE HIKI CHUMA NI SHIDA
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]unaheshim kama mbele kuna traffic kwelHatari! Mimi huwa naunganisha na subwoofer, napiga moto halafu nazima, basi linazima kama mashine yenyewe kabisa linavyotikisika na kupumua pale mwishoni. Huwa nikifika kwenye mataa naheshimu kama nimeshikilia ndinga kabisa.
😬 😬 😬 😬 daah heli yako unae heshimu hizo taa mi huwa naunga moja kwa moja haswa nikiwa nimechelewesha mzigoHatari! Mimi huwa naunganisha na subwoofer, napiga moto halafu nazima, basi linazima kama mashine yenyewe kabisa linavyotikisika na kupumua pale mwishoni. Huwa nikifika kwenye mataa naheshimu kama nimeshikilia ndinga kabisa.
munkali huo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]unaheshim kama mbele kuna traffic kwel
YES HATARI SANA HII KITU ILA KWA SCANIA HUWA INAPIGA FILIMBI KWA MBAALIIIIISas huu ndo mzigo kaka unaikuta had 160kph afu kuna kamlio fulan ka engine hadi raha
Na hiv leo hamna tsup, insta na twitter basi wacha nifikishe garage ya 18munkali huo
Hii ikoje hiv sijawah jarbuNAONA KESHO TUTAKUWA WENGI KIDOGO MNAONAJE KAMA TUWEKE CONVOY
daah yaani tuna drive truck zetu kwa pamojaHii ikoje hiv sijawah jarbu
Na tunakua na uwezo wa kujuana kabisa kwamba hapa nmepisha na jamaa angdaah yaani tuna drive truck zetu kwa pamoja
NDIYO YAANI KILA KITU kwa mfano hapa nilikuwa na sijui nini..... na kwa baadae nikawa na hans mapundaNa tunakua na uwezo wa kujuana kabisa kwamba hapa nmepisha na jamaa ang
Aiseeee temperature 900?Wakuu computer yangu inazima nikicheza hii game,harafu wakati wa kuiwasha inanipa message ambayo nimeambatanisha screen shot hapo ,lakini pia nimeambatanisha NA properties za computer,embu nisaidieni tatizo nn?View attachment 1615151View attachment 1615152
Huwa inachemka sana? Sema sensor yako itakua inasoma wrongMkuu Nouma kweli
1.38Wakuu version ipo iko yente wala haizingui hata kidgo?
[emoji1666] chif1.38
Link ipo juu hapo kweny thread..shuka mwishon sasa utaona link
Sent from my SM-G920P using JamiiForums mobile app