Wakujilipua
JF-Expert Member
- May 5, 2018
- 1,584
- 1,393
Nipo Mkuu mminiacha mbali sana mm bado nilikuwa 1.37 baada ya kwenda 1.39 sikuona Mods zangu za power engine hazipo
Umepotea mzeeNipo Mkuu mminiacha mbali sana mm bado nilikuwa 1.37 baada ya kwenda 1.39 sikuona Mods zangu za power engine hazipo
Vipi huko 1.39 mnaenda vizuri niliache game la Mod ya Hondulandia?
safi sana hata mm napendelea kuchelewa chelewa maana huko mbele nakuogopa baada ya kupoteza / kuibiwa na vibaka Computer na vitu vingine.Umepotea mzee
Mim nipo 1.36 kwaajil ya harsh russian..mana kweny 1.38 likawa lina crash kwenye baadh ya barabara..
safi sana hata mm napendelea kuchelewa chelewa maana huko mbele nakuogopa baada ya kupoteza / kuibiwa na vibaka Computer na vitu vingine.
Nimeona nianze nyuma kumbe zile Mods zitakubali sasa
usisahau post yako #1 kuweka link hiyo ya 1.39 (updated) na vinginevyo km UTorrent BitComet - Downloads hii itasaidia sana wageni, nataka nizitafute na zile Mods huenda zikasaidia zikikaa karibu
inapendeza sana ukinwa na big screenMara moja moja sio mbaya kuwadhulumu madogo carton na kutumia screen ya tv kupiga route mbili tatu.... [emoji38]View attachment 1666547View attachment 1666548
mzee una roho ngumu bado uko russia?Umepotea mzee
Mim nipo 1.36 kwaajil ya harsh russian..mana kweny 1.38 likawa lina crash kwenye baadh ya barabara..
Sent from my SM-G920P using JamiiForums mobile app
ulipotea sana tukazani wasiojulikana washapita na weweNipo Mkuu mminiacha mbali sana mm bado nilikuwa 1.37 baada ya kwenda 1.39 sikuona Mods zangu za power engine hazipo
Vipi huko 1.39 mnaenda vizuri niliache game la Mod ya Hondulandia?
Haha rudi mzee..mim bado nakomaaamzee una roho ngumu bado uko russia?
mi nilitelekeza truck v8 ila mpaka natamani kuludi
Safi sana mkuuhaya sasa wazee wa mod 1.39 tumeludi kivingine kabisa ,
Tz traffic trailer ikiwa ktk muonekano mpya kbsa ikiwa na jumla ya skin 70 kwa muonekano tofauti tofauti na pia hii mod haiuzwi bali ni buleeee unaweza kuidownload kupitia link hii[emoji116][emoji116]
Aiseee umetisha sana...karem ametutesa sana[emoji1787]Pia wazee wa mabus hatuko nao mbali Tz bus traffic [open beta] soon naichilia link hapa
Mzee kama una ii vision ya 1.39 linki naomba ya kuipataOI WAKUU HABALI ZA MWAKA MPYA
leo ktk pitapita zangu nimekutana na hii map ya bwana goba6372
version ni 1.39 cha ajabu inauzwa bei ghali kwelikweli [RUB 500=TSH 15000]
Mnaweza kuicheki hapa https://vk.com/market-157554481?w=product-157554481_1532699
Mzee kama una ii vision ya 1.39 linki naomba ya kuipataOI WAKUU HABALI ZA MWAKA MPYA
leo ktk pitapita zangu nimekutana na hii map ya bwana goba6372
version ni 1.39 cha ajabu inauzwa bei ghali kwelikweli [RUB 500=TSH 15000]
Mnaweza kuicheki hapa https://vk.com/market-157554481?w=product-157554481_1532699
Mzee kama una ii vision ya 1.39 linki naomba ya kuipata
map gani hiyo mkuuWandugu @kcamp nnadunda na 1.39 hapa[emoji23][emoji23][emoji23] ila kuna map nmeidownload et ku extract hadi password [emoji22]