Fahamu jinsi ya kuinstall Mods kwenye Euro trucks simulator 2

Mim codex hanipi shida hata siku moja...nitakupa mrejesho kesho ukwaju
Mkuu kcamp thanx lkn nikiona neno CODEX napotumia Torrent huwa linanisumbua sana wakati wa kuZIP yaani unaweza kuta umeshaliwa Mb 7 kuja kuweka kweny Extract linagoma
utatupa mrejesho basi Mkuu
 
Yan Jan nmecheza fresh
Leo zinatokea shortcut mbili moja ya 64 nyingine 32 mwisho in stop working
 
Yan Jan nmecheza fresh
Leo zinatokea shortcut mbili moja ya 64 nyingine 32 mwisho in stop workingView attachment 1283908
Mkuu kuna kamdudu kamoja kanaitwa shortcut kalinitesa sana
halafu katika picha ya Truck ya Euro hapo mbele ukiona ngao imejitokeza wanataka uende Admini napo hatari hicho kingao kuna mdudu alinisumbua mpaka nikaInstall upya
mwisho ulinielekeza kuua STEAM ndio dawa, nenda kule Computer User .....Steam
 
Yap mzee nmefuta steam now fresh
 

Haya MediaFire link hyo mzigo una gb 3 tu

V1.36
 
Kwel mkuu..saiz mods zote zimehamia 1.36...nasubr saa sita nianze kupakua
Duh mm inakwamia kwenye 76Mb badala ya kumalizia 3.3Gb nitajaribu baada ya wengine
nimezamia kwa Bondia Antony Joshua aliyembox Ruiz na kuchukua tena mikanda yake mi3
 
Duh mm inakwamia kwenye 76Mb badala ya kumalizia 3.3Gb nitajaribu baada ya wengine
nimezamia kwa Bondia Antony Joshua aliyembox Ruiz na kuchukua tena mikanda yake mi3
Unakwama wapi babu...mim tayar nipo mzgoni v1.36
 
Chuma kali sana! Renault.. siku ukija England ukaona chuma imeandikwa machibya ujue ni mimi [emoji38][emoji38][emoji38] ilitelekezwa baada ya pc kuibiwa [emoji26][emoji26][emoji47]
Hahah Renault T range..imekaa kishua sana

Asee kumbe walikupiga pc?[emoji16][emoji16]
 
Chuma kali sana! Renault.. siku ukija England ukaona chuma imeandikwa machibya ujue ni mimi [emoji38][emoji38][emoji38] ilitelekezwa baada ya pc kuibiwa [emoji26][emoji26][emoji47]
Machibya kumbe na wewe Developer wa ETS-2 ukiwa huko Shinyanga na PC wakakuchapa mm nilijua upo London GB
Maana kuna Mod nzuri siioni ile post yake ilituelekeza maTruck ya Coca cola, Azam nk ya Tanzania tukitaka kuyapaka rangi gereji tunabuni wenyewe na neno Machibya au MO linabakia kwenye PC yako
kumbe mpaka ETS-2 πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ jokes
 
Ukwaju link ipo updated...jaribu tena
 
Mi sio developer mkuu [emoji38][emoji38] machibya niliandika pale kwenye driver name kwahiyo ukiiona kwa mbele utaona machibya! Nilitaka kuwa tofauti na akina sijui Darlington haulage, nikatupia kitanzania zaidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…