Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ENVY,PAVILIIN,SPECTRE iwe kat ya ivi vyumaKuna muhun mmoja anakuaga anazo....ww siku ukiwa fresh nicheki...nikuulzie kwa jamaa kama atakua na mkasi wowote
Nitakutafuta mkuu.Balaa mkuu
Road to the black sea Panton linatembea live [emoji1373][emoji1373]
Huu mzigoooooo,, daaaah co poa ata robo, apo amnaga ishu za gemu kustack
Doh polee sana mwana yanga...Wakuu mwenzenu hapa nina majanga.
1)nimeibiwa modem na dogo mmoja hapa masikani
2)pc yangu imepasuka kioo yaani hakioneshi kitu chochote zaidi ya mwanga mweupe tu
3)niko nazichanga shilingi hapa ili niibuke kwa fundi
4) hapa nimeazima cm kwa jamaa ili niingie jf. View attachment 1288614
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1][emoji1][emoji23]
pole Mkuu pole sana hawa watoto wanajua umuhimu wa Modem au wanadhani maandaziWakuu mwenzenu hapa nina majanga.
1)nimeibiwa modem na dogo mmoja hapa masikani
Key hakuna mkuu..tumia cracked version..link hiyo hapo juu post #1218Wakuu hv nawezaje pata activation key ya Eurotruck simulator 2. Maana nliinstall kama demo nmecheza hadi level 4, ili kuendelea inahitaj key.. Msaada wenu tafadhali.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwel mkuu..saiz mods zote zimehamia 1.36...nasubr saa sita nianze kupakua
Jatibu..japo processor yako hiyo yakawaidaMkuu kwa hii mashine inafaa kuweka hilo game bila shida na nika Access mambo yangu mengine bila shida , maana naitumia kujisomea na kutunza documents..View attachment 1291301
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu nina desktop yenye processor kubwa lakini ram yake 2GB itafaa maana nataka niinstall moja kwa moja nianze kuhangaika na magari ..
Mkuu nina desktop yenye processor kubwa lakini ram yake 2GB itafaa maana nataka niinstall moja kwa moja nianze kuhangaika na magari ..
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee, road to black sea inanikosesha utamu kwenye swal la sauti na mwanga, kama umecheza nazan umeona tofaut na ili la 1.35