Fahamu jinsi ya kuinstall Mods kwenye Euro trucks simulator 2

Fahamu jinsi ya kuinstall Mods kwenye Euro trucks simulator 2

Wakuu mwenzenu hapa nina majanga.
1)nimeibiwa modem na dogo mmoja hapa masikani
2)pc yangu imepasuka kioo yaani hakioneshi kitu chochote zaidi ya mwanga mweupe tu
3)niko nazichanga shilingi hapa ili niibuke kwa fundi
4) hapa nimeazima cm kwa jamaa ili niingie jf.
1576063129058.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu mwenzenu hapa nina majanga.
1)nimeibiwa modem na dogo mmoja hapa masikani
pole Mkuu pole sana hawa watoto wanajua umuhimu wa Modem au wanadhani maandazi
yaani kakukwamisha mengi
mm mtoto wa sister alikuwa Chuo fulani akalala kwangu asubuhi kaondoka nayo nililaani kweli alijua siitumii wakati kaniona nipo JF
nikaminya nikatafuta ingine sijamuuliza kabisa
 
Wakuu hv nawezaje pata activation key ya Eurotruck simulator 2. Maana nliinstall kama demo nmecheza hadi level 4, ili kuendelea inahitaj key.. Msaada wenu tafadhali.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu kwa hii mashine inafaa kuweka hilo game bila shida na nika Access mambo yangu mengine bila shida , maana naitumia kujisomea na kutunza documents..
IMG20191213171656.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom