Daa Bora yako ..mim nmepakua kumbe sio la 1.36Mm bado natumia 1.35 version Game limefunguka
lkn sio la Australia linatumia Map ya Europa na majina ya bandia yasiyojulikana
unajua hawa Developer kila mtu anatupia kitu chake sasa wanashindwa kukamilisha Map zao wanatumia zilezile za Europa
ile mitikisiko km Hondulandia bado sijaifikia nipo level 40
Hondulandia bado sijaona mpinzani kwa mwaka huu 2020
Napataje haya mautundu
jaman nlikua nasema kwa bongo ets2 truckers tutengeneze group letu whatsapp ili tuweze juzana mambo mengi about mods
Sent from my iPhone using JamiiForums
Puno baba tushaichafua humu..tukuulize ww unaijua hondulandia?nani anaifahamu map ya puno peru
Sent from my iPhone using JamiiForums
tukiwa na group ndo itakua rahisi mana me nipo kwny group la wakenya wanabagua kishenz since i thought vibe ya ets2 bongo ni ndogo
Sent from my iPhone using JamiiForums