Fahamu jinsi ya kuinstall Mods kwenye Euro trucks simulator 2

Fahamu jinsi ya kuinstall Mods kwenye Euro trucks simulator 2

Zipo njia mbaya afrca hazioni ndani
Kuna route hutoboi mwenyewe utacancel ama kila saa upige F7
Unakuta njia mafuriko barabara huoni imefunikwa ukiteleza tu korongoni
Unakuta ajari njiani hakuna pakupita eidha ushuke bondeni au urudi nyuma uzunguke yaan kwa mfano unaenda moro kufika VIGWAZA labda kuna ajari nijia haipitiki uchagua ushuke kolongoni uharibu gari au urudi nyuma uzunguke bagamoyo charinze then upeleke mzigo moro kumbuka ukirudi nyuma unapoteza muda utaanza kupigiwa mziki unachelewa unakatwa pesa na pia kuna madaraja umetiboa kibahati tuu or uingize kolongoni uharibu gari XP zipungue utajijua sasa mwenyewe
Kuna road moja hiyo hiyo milima kitonga fala tu halafu gari zimeharibika njiani kupishana hatari halafu tope la haja taili zinaslip tuu noma sana sans
pamjela hujaifafanua hiyo njia, mm nilidhani za Afrika au unazungumzia njia za Puno-Peru
Hongera kwa picha naona barabara za Toco Toco, Putina Puchu, Yana Huara yaani unakuta kituo cha kushusha mzigo hakipo inabidi uchanje mbuga au kweny mto kwenda shusha mzigo.
nimelazwa njiani na kuwa LATE mara kibao, sijui huko Harsh Russia na Baikal nako kukoje
 
Zipo njia mbaya afrca hazioni ndani
Kuna route hutoboi mwenyewe utacancel ama kila saa upige F7
Unakuta njia mafuriko barabara huoni imefunikwa ukiteleza tu korongoni
Unakuta ajari njiani hakuna pakupita eidha ushuke bondeni au urudi nyuma uzunguke yaan kwa mfano unaenda moro kufika VIGWAZA labda kuna ajari nijia haipitiki uchagua ushuke kolongoni uharibu gari au urudi nyuma uzunguke bagamoyo charinze then upeleke mzigo moro kumbuka ukirudi nyuma unapoteza muda utaanza kupigiwa mziki unachelewa unakatwa pesa na pia kuna madaraja umetiboa kibahati tuu or uingize kolongoni uharibu gari XP zipungue utajijua sasa mwenyewe
Kuna road moja hiyo hiyo milima kitonga fala tu halafu gari zimeharibika njiani kupishana hatari halafu tope la haja taili zinaslip tuu noma sana sansView attachment 1083697View attachment 1083698View attachment 1083699View attachment 1083700View attachment 1083701View attachment 1083702View attachment 1083703View attachment 1083704View attachment 1083705View attachment 1083708View attachment 1083709View attachment 1083710View attachment 1083711View attachment 1083715View attachment 1083716View attachment 1083717View attachment 1083718View attachment 1083719View attachment 1083720View attachment 1083721

Hahaaa mkuu kuna trailer ya azam cola dahh io kwel noma😀😀
 
pamjela hujaifafanua hiyo njia, mm nilidhani za Afrika au unazungumzia njia za Puno-Peru
Hongera kwa picha naona barabara za Toco Toco, Putina Puchu, Yana Huara yaani unakuta kituo cha kushusha mzigo hakipo inabidi uchanje mbuga au kweny mto kwenda shusha mzigo.
nimelazwa njiani na kuwa LATE mara kibao, sijui huko Harsh Russia na Baikal nako kukoje
Hiyo ni map ya indonesia sio puno peru mzee
Hiyo map kuna mitaa ukipita mida ya swala unasikia adhana inaadhiniwa mda wa swala
Ni huko mitaa ya indonesia
 
Hahaaa mkuu kuna trailer ya azam cola dahh io kwel noma[emoji3][emoji3]
Hicho kimod flan unatupia alikitengeneza jamaa mmoja yupo humuhunu kwenye uzi mwingine wa eurotruck kipo kitambo sana hicho kimodi tangu 2015 kama sikosei
Kuna sheli za LAKEOIL na OILCOM
kampuni za maji za bongo za mikoani zipo tofauti tofauti nyingi tu
 
Hicho kimod flan unatupia alukitengeneza jamaa mmoja yupo humuhunu kwenye uzi mwingine eurotruck kitambo sana hicho kimodi tangu 2015 kama sikosei
Kuna sheli za LAKEOIL na OILCOM
kampuni za maji za bongo za mikoani zipo tofauti tofsuti nyingi tu
Na hakuna ya mabasi mdau?
 
Na hakuna ya mabasi mdau?
Basi za kibongo hapana mzee baba hizo amna
Kunaa moja nilikuwaga nayo mod ya bus ilikuwaga tu na modfy coroul ya abood bus pekee ila kwa kuwa si mpenzi sana wa mabus sikudeal nayo sana
 
Hicho kimod flan unatupia alikitengeneza jamaa mmoja yupo humuhunu kwenye uzi mwingine wa eurotruck kipo kitambo sana hicho kimodi tangu 2015 kama sikosei
Kuna sheli za LAKEOIL na OILCOM
kampuni za maji za bongo za mikoani zipo tofauti tofauti nyingi tu

Dahh katisha kinyama👏👏👏
 
Bus za Tanzania unapiga skins tu unazipata


Pakua skin hapo
Asante.. Nashukuru sana mkuu..
 
Wakuu nimedpwload ii version ya 1.34 na nashukuru wadau kwa kunielekeza adi nimefanikisha ila sasa naona kama lina ganda ganda sana tatizo itakua ni nini labda kama naweza solve
 
Bus za Tanzania unapiga skins tu unazipata


Pakua skin hapo
Yeah mzee nilikuwa natumia hii kumodfy
 
Wakuu nimedpwload ii version ya 1.34 na nashukuru wadau kwa kunielekeza adi nimefanikisha ila sasa naona kama lina ganda ganda sana tatizo itakua ni nini labda kama naweza solve
Pc yako uwezo wake ni upi
Km pc yako uwezo mdogo weka low setting utaenjoy
 
Pc ni dell

RAM 4

HDD 500

PROCESSOR 2.1
Nitajie model namba
Mfano dell latitude e5400 au vostro Zimeandikwa hapo mbele ya PC
Au hapo kwenye seach bar andika Dxdiag seach crick ok itakuja info zote tha pc model nk
Mana nilitegemea ungenitajia aina ya procesor yake
 
Wakuu nimedpwload ii version ya 1.34 na nashukuru wadau kwa kunielekeza adi nimefanikisha ila sasa naona kama lina ganda ganda sana tatizo itakua ni nini labda kama naweza solve
Mkuu itakua ni drivers haziko updated ..fanya kuziupdate kwanza itakaa poa
 
Nitajie model namba
Mfano dell latitude e5400 au vostro Zimeandikwa hapo mbele ya PC
Au hapo kwenye seach bar andika Dxdiag seach crick ok itakuja info zote tha pc model nk
Mana nilitegemea ungenitajia aina ya procesor yake
Iyo apo kiongozi
IMG_20190429_182039.jpg
 
"C:\2-click run\Euro Truck Simulator 2 v1.22.0.3 (29 DLC)\bin\win_x64\eurotrucks2.exe" Natumia Game version iyo . Nimemodify game kuongeza speed kutoka 90 mpaka 200km/h.
Naitaji mod ya kuongeza hp sasa. Aliye nayo anipe link.
 
"C:\2-click run\Euro Truck Simulator 2 v1.22.0.3 (29 DLC)\bin\win_x64\eurotrucks2.exe" Natumia Game version iyo . Nimemodify game kuongeza speed kutoka 90 mpaka 200km/h.
Naitaji mod ya kuongeza hp sasa. Aliye nayo anipe link.
Version yako ha zaman sana mkuu..njoo 1.34 ndio upate mods latest ikiwemo ya horsepower
 
Back
Top Bottom