kcamp
JF-Expert Member
- Aug 31, 2014
- 8,517
- 7,984
- Thread starter
- #3,121
Ohooo ukipanda kamata na hyo ....hatar..Oh hatariii
Me bado nipo na 1.36
Sent from my SM-G920P using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ohooo ukipanda kamata na hyo ....hatar..Oh hatariii
Me bado nipo na 1.36
1.38?Haya crack 1.38 hiyo hapo
Link added kweny post ya 1
ETS2 1.38 + All Dlcs
Sent from my SM-G920P using JamiiForums mobile app
So hii ndo latest zaidi ya iyo 1.37.….Hivi inapatikana na key zake kabisa?Haya crack 1.38 hiyo hapo
Link added kweny post ya 1
ETS2 1.38 + All Dlcs
Sent from my SM-G920P using JamiiForums mobile app
Haiombi key hii...ndio latest..humu crack zote haziombi keySo hii ndo latest zaidi ya iyo 1.37.….Hivi inapatikana na key zake kabisa?
Sent from my itel S11 using JamiiForums mobile app
Eeeh mzee ets2 wako na kasi sana[emoji1787]1.38?
Keypad zang zilimwagikia maji,nateseka mbaya
Duuh itabidi nipande direct 1.38 from 1.36
hawa sijui taalifa huwa hawazipati?. kwa mfano nilichukua zile picha zako ulizopiga kwa mr goba huko siberia nikawaonesha majamaa flani hiv hivi nikawauliza " je hii ni map gani" wengi walijibu russian open space. wengine rusmap wengine puno peru na hakuna aliyesema kuwa hiyo ni siberiaYes mi pia nna jamaa zangu kama wa 4 hivi wanacheza ets2 version za nyuma kidgo...hapa juzi tu nimewaonyesha ntafungua vioo ndio wamekuja kuifata hapa home
Sent from my SM-G920P using JamiiForums mobile app
😂 😂 😂 na kuna baadhi yao wanajua inafanya kazi kwenye computer tu 😂😂😂 ushamba mjigoWengi wanaijua km chombo cha habari tu lkn hawajui ikoje, yn cku wabongo wataijua Jf wale wa fb wote watahamia humu amini kwamba mkuu [emoji3][emoji3][emoji3]
Sure [emoji3][emoji3][emoji23] [emoji23] [emoji23] na kuna baadhi yao wanajua inafanya kazi kwenye computer tu [emoji23][emoji23][emoji23] ushamba mjigo
sio habari ya kutunga au niweke screenshot?Sure [emoji3][emoji3]
Weka mkuu[emoji3][emoji3]sio habari ya kutunga au niweke screen shot?
kwa bahati mbaya au nzuli tayali nimesha waalika humu jukwaani . so haito pendeza wakikuta text zao hapa 🕺Weka mkuu[emoji3][emoji3]
Hapana hebu ingia 1.37 kwanza upige mods kazaa kwanza.. 1.38 mods chacheDuuh itabidi nipande direct 1.38 from 1.36
Vipi feature gani zimeongezwa from 1.37 maana ni muda mfupi tangu 1.37 itoke...
Haha wako less informedhawa sijui taalifa huwa hawazipati?. kwa mfano nilichukua zile picha zako ulizopiga kwa mr goba huko siberia nikawaonesha majamaa flani hiv hivi nikawauliza " je hii ni map gani" wengi walijibu russian open space. wengine rusmap wengine puno peru na hakuna aliyesema kuwa hiyo ni siberia
mkuu mi nipo tena nipo pale pale uholanzi kwenye ile garageHabari ya Jioni Madereva wa ETS2, Naingia kucheza online. Kama mtu yupo online yaani on TruckerMP aniambie ili niungane naye.
Ok poa nakuja,mkuu mi nipo tena nipo pale pale uholanzi kwenye ile garage
kumbuka ukisha fika hapo rotelnderm kwenye hiyo garage nistue hapa sawaOk poa nakuja,