The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 41,015
- 93,277
Kwmb hapa kila mtu ana dude lake af mna drive pamoja auu.NDIYO MZEE BABA TUKO PAMOJA KBSA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwmb hapa kila mtu ana dude lake af mna drive pamoja auu.NDIYO MZEE BABA TUKO PAMOJA KBSA
Nipo Mkuu.
Ets2 haijawahi kuchosha aisee.nipo Online Mkuu natoka Filexstowe naelekea Kiel
mmesema mpo garage gani vile ?
katika Mji wa Rottedam au Amstedam?
View attachment 1525376View attachment 1525376
ebwana we mr mjumbe hapo tulikuwa tunatoka netherland tunaelekea german mji mmja hivKwmb hapa kila mtu ana dude lake af mna drive pamoja auu.
💯 💯 💯 💯 💯 💯 💯 💯 💯 💯 💯 💯 💯 💯 💯 💯 💯 💯 💯 💯%%%%%Ets2 haijawahi kuchosha aisee.
mjumbe wazee wa puno wameshindwa kbsa kutoka makolongoni pale yanahuaya.😂 😂 tumesha tuma magreda kwenda kuwa kwamua hata huko kwenye matheruji siberia na puno peru na huko brasil sijui mvua bado zinanyesha maana si kidongo chekundu hicho. ila soon tutakuwa nao TUAisee, ko wazee wa brazil,puno, Hondura na Goba huko online hawafiki???
Karibuni Europe online na offline
Kwa hyo hapo mnaweza ongozana mmoja mbele mwingine nyuma, na vp mkifika site mnaweza kupaki sehemu moja?ebwana we mr mjumbe hapo tulikuwa tunatoka netherland tunaelekea german mji mmja hiv
yesKwa hyo hapo mnaweza ongozana mmoja mbele mwingine nyuma, na vp mkifika site mnaweza kupaki sehemu moja?
[emoji16][emoji1787][emoji1787] dongo jekundu kama kigoma vilemjumbe wazee wa puno wameshindwa kbsa kutoka makolongoni pale yanahuaya.[emoji23] [emoji23] tumesha tuma magreda kwenda kuwa kwamua hata huko kwenye matheruji siberia na puno peru na huko brasil sijui mvua bado zinanyesha maana si kidongo chekundu hicho. ila soon tutakuwa nao TU
Aise wapi hiyo?chuma kama chuma
Hii ni Brazil mkuu...Aise wapi hiyo?
yeah mi nipoHabari za Usiku, Nimefika Home kutoka kazini naingia kwenye trackersMP, waliopo online wanijuze ili niungane nao.
Upo maeneo gani?yeah mi nipo
Mods nyingi kawaida huwa wanaweka na game version pale kwenye headingHatimaye nimedownload version mpya ya Eurotruck Simulator version 1.38.....Naomba kujua hizo mods zaweza kussuport iyo version mpya..maps,,road
Sent from my itel S11 using JamiiForums mobile app