massawepb
Senior Member
- Apr 23, 2020
- 197
- 220
Zipo ila kuodea bongo sio Chini ya milioni 5 mzee wakati uki oder amazoni kwanzia keyboard, monitor, computer, yenyewe na Sterling pad ni 10m tuuu mzigo unafikaBongo zipo au hazipo hizo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zipo ila kuodea bongo sio Chini ya milioni 5 mzee wakati uki oder amazoni kwanzia keyboard, monitor, computer, yenyewe na Sterling pad ni 10m tuuu mzigo unafikaBongo zipo au hazipo hizo?
Sjawahi kulicheza ila nimeona matangazo yake.... ni balaa!!nani anacheza snowrunner humu ndani?
Nimekuona kuna kuna muda ulikua sheli,mim ndo naingia hapa [emoji2]Nimefika salama Russia View attachment 2205746
Link tafadhali mkuuOffial nipo 1.44 sasa [emoji2]
Aa kumbe ni ww mkuu kwann usipige hon[emoji448][emoji448]Nimekuona kuna kuna muda ulikua sheli,mim ndo naingia hapa [emoji2]
Ndiyo ipoje hyo?nani anacheza snowrunner humu ndani?
Dah mkuu safi sana.TANGAZO! TANGAZO!
TANGAZO!
ni kwa mara nyingine tena napenda kuitambulisha kwenu wapenzi wa game la ets2 modification ya ramani mpya iitwayo
Map Tanzania
ramani hii inauhalisia wa barabara,pamoja na miji ya tanzania ikiwa na miji mikuu miwili ambayo ni
[1]IRINGA
[2]MOROGORO
Pamoja na miji midogo midogo ambayo ni
{1}bwawani
{2}mikuni
{3}mikese
{4}ilula
pia map hii inaweza kutumika kwenye convoy sababu inakubali murtplayer
Map tanzania imepimwa na kupitishwa na wataalamu wautengenezaji wa mod mbalimbali hapa tanzania ambao ni
#Lembukazi
#Hood aka hoodland
#elias Ets2
#Mane Ets2
ramani hii ni maalumu kwa game la euro truck simulator 2 kuanzia version 1.39 to 1.43
ikiwa utapendezwa au utaihitaji ramani hii tafadhari wasiliana kwa namba hii +255746831395
sina mengi zaidi ya kuhitaji support yenu ili kazi iendeleee
[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]TANGAZO! TANGAZO!
TANGAZO!
ni kwa mara nyingine tena napenda kuitambulisha kwenu wapenzi wa game la ets2 modification ya ramani mpya iitwayo
Map Tanzania
ramani hii inauhalisia wa barabara,pamoja na miji ya tanzania ikiwa na miji mikuu miwili ambayo ni
[1]IRINGA
[2]MOROGORO
Pamoja na miji midogo midogo ambayo ni
{1}bwawani
{2}mikuni
{3}mikese
{4}ilula
pia map hii inaweza kutumika kwenye convoy sababu inakubali murtplayer
Map tanzania imepimwa na kupitishwa na wataalamu wautengenezaji wa mod mbalimbali hapa tanzania ambao ni
#Lembukazi
#Hood aka hoodland
#elias Ets2
#Mane Ets2
ramani hii ni maalumu kwa game la euro truck simulator 2 kuanzia version 1.39 to 1.43
ikiwa utapendezwa au utaihitaji ramani hii tafadhari wasiliana kwa namba hii +255746831395
sina mengi zaidi ya kuhitaji support yenu ili kazi iendeleee
Ndiyo ipoje hyo?
Spectre ya bongo kama inauzwa 1.5M vipi kwa china inaweza kuwa ngap?Tafuta,kama unataka kwa bei nzuri agiza china..bongo wantupiga sana alaf ni refurbished nying
Una uzoefu na hizi HP omen..?Tafuta,kama unataka kwa bei nzuri agiza china..bongo wantupiga sana alaf ni refurbished nying