blacksamurai
JF-Expert Member
- Jan 1, 2019
- 387
- 646
Umetumia website gani kudownload hiihatimaye leo nimedownload hili gemu nasubiri mda ufike nika install kwa pc
gb 17 sio mchezo[emoji2958][emoji2958][emoji2958]View attachment 2525435
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umetumia website gani kudownload hiihatimaye leo nimedownload hili gemu nasubiri mda ufike nika install kwa pc
gb 17 sio mchezo[emoji2958][emoji2958][emoji2958]View attachment 2525435
Nipe maujanja mkuuMzee wa mods hub
Naona uko na full.modshatimaye leo nimedownload hili gemu nasubiri mda ufike nika install kwa pc
gb 17 sio mchezo[emoji2958][emoji2958][emoji2958]View attachment 2525435
Kumbuka mtu huyo simjui uwe making usije tapeliwa naana mm ndo tupo kwenye majadiliano bado
hatimaye leo nimedownload hili gemu nasubiri mda ufike nika install kwa pc
gb 17 sio mchezo[emoji2958][emoji2958][emoji2958]View attachment 2525435
Nadhani atakuwa na telegram anakurushia na ww unapakuaHuyu mtu yuko kigoma huko sasa kama uko Dar sijui anakutumia vipi nawaza tu
Weka link hapaMmmh gb17 wakati la kwangu ni gb 7 tu version iyo iyo[emoji848][emoji848]
Eti umtumie elfu kumi alafu akurushie sijui ndii link zen unapakua, sasa si bora upakue mwenyewe tu uingie mtandaoni.Huyu mtu yuko kigoma huko sasa kama uko Dar sijui anakutumia vipi nawaza tu
Namba yake...Kuna yule karim mods nadhani ni uhakika zaid
Eti umtumie elfu kumi alafu akurushie sijui ndii link zen unapakua, sasa si bora upakue mwenyewe tu uingie mtandaoni.
Aweke link kwakweli[emoji23][emoji23][emoji23]maan me mwenyew nimeukuta mahali GB17 then huku tunaambiwa 7...interesting
Kuna watu Bado mnadownload hili game?Mmmh gb17 wakati la kwangu ni gb 7 tu version iyo iyo[emoji848][emoji848]
Hizo bus za kibongo huwa zinauzwaa huwezi kuzipata bureEti umtumie elfu kumi alafu akurushie sijui ndii link zen unapakua, sasa si bora upakue mwenyewe tu uingie mtandaoni.
Huyo mwenyewe anayetaka kukuuzia na yeye aliinunua hiyo mod Kwa mtu Kwa hiyo ni mwendo wa kuuziana tuHizo bus za kibongo huwa zinauzwaa huwezi kuzipata bure
Tatizo hazina quality ile ya Eurotruck simulator2.Hizo bus za kibongo huwa zinauzwaa huwezi kuzipata bure
[emoji23][emoji23]Aweke link kwakweli[emoji23][emoji23][emoji23]maan me mwenyew nimeukuta mahali GB17 then huku tunaambiwa 7...interesting