Fahamu jinsi ya kutengeneza ndege ya kichawi, kwenda kokote Duniani

Baadae ❎ Baadaye βœ…

Ntarudi ❎ Nitarudi βœ…

Hivi huko shule ulienda kusomea ujinga?
Hance haihitaji elimu ya Chuo kikuu kujua kwamba Tanzania ina lahaja si chini ya 50 kwahyo Kila sehemu ina lahaja zake na Uandishi wake Japo tulikubaliana kutumia Lahaja ya kimvita na kimtang'ata(Ambayo umeizoea kuiandika)
Haina maana kwamba lahaja zingine zitakufa..

Kwa mfano Usije ukashangaa kumkuta Mpemba kaandika Lahaja yake ukaona kama kakosea kiswahili
Au ukaona Mtanga kaandika lahaja yake..

Kwakuwa wwe ni mchaga Ukahisi Kakosea..
Lahaja zote hutumika na hakuna hata moja iliyokufa
Asante:
 
nimekukamata pabaya sana leo ajuza. shehe mwenzio aliyeswali na kusomea madina anamaanisha majini viumbe, sio maji. leo nimekushika pabaya.na huna jibu.
Kunipata "pabaya sana leo" unamaanisha nini? Mbona unaandika mambo ambayo hueleweki?

mmoja = jini
wengi = majinni.

Sasa wewe hujaandika sawa, ungeandika vizuri ningeshakujibu zamani sana. Haya swali lako ni nini kuhusu majinni?
 
Hoja yako ya msingi hapo ni ipi?

Je ,kwa kuwa muandishi ni mkurya akiandika "Kurara" badala ya "Kulala" tukubaliane naye tu kisa ni asili yake?
 
Hoja yako ya msingi hapo ni ipi?

Je ,kwa kuwa muandishi ni mkurya akiandika "Kurara" badala ya "Kulala" tukubaliane naye tu kisa ni asili yake?
Kama umeweza kujibu maana yake umeigundua hoja ya msingi niliyosema..

Narudia tena Katika kiswahili hakuna lahajabora kuliko lahaja zingine ila kuna makubaliano ya matumizi ya Lahaja kwamba lahaja ipi itumike kulingana na mahitaji ya jamii..
Nenda kwanza kasome kabla ha kumkosoa mwenzako..
Kongo wanaongea kiswahili na wote wanasikilizana ,Kenya wanaongea kiswahili na wote wanasikilizana..

Kiswahili kinachotumiwa kama Gold standard ama Kifani ni kiswahili cha pwani Hakuna anayeweza perfect kuongea kiswahili kizuri kwa sababu wote tunaongea Kiswahili kilicho Chotara au pijini (pidgini)...
 
Tuanzie hapa.

"Kura" na "Kula" ni sawa?
 
Kwako Mshana Jr tafadhali.
 
Ulimaanisha pijini(pidgin)?
 
Mimi nadhani Wachawi wangewekeza teknology yao kwenye mafuta ya Wanyama! Au kwa watu ambao wamekufa kwa njia nyingine isiyo ya kuua kwa kukusudia mf.ajali, magonjwa, nk Ili kuepusha mauaji ya Wanadamu.
Harafu nadhani teknology hii ingetusaidia katika Usafiri na katika vita ambako drone za kichawi zingetengenezwa kupiga vifaa vya maadui.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…