Fahamu jinsi ya kutengeneza ndege ya kichawi, kwenda kokote Duniani

Wewe ni mchawi au lamba lamba?
 
Elimu ya uchawi ni Pana sana hatupendi kujifunza kwa sababu Haina msaada wowote kwenye maisha yetu
Sahihi kabisa, elimu hii sio nzuri kujifunza kwani utachafua nafsi yako, awali tulikua tunataka kujua kama usafiri wa giza utawezekana kwenye ulimwengu wa nuru bila kua mchawi na bila kudhuru watu, lakini jambo hilo haliwezekani kabisa ni lazima mauaji yatumike. Hivyo elimu hiyo ni ya kuifahamu tu lakini sio kuitenda.
 
Tupe elimu ni mimea ipi inaua nguvu ya uchawi
Pitia uzi huu

 
Wajinga nyie....umaskini umewajaa badala watumie ujanja huo kupata kipato na kukuza teknoolojia mmekalia uongo tu
 
Wajinga nyie....umaskini umewajaa badala watumie ujanja huo kupata kipato na kukuza teknoolojia mmekalia uongo tu
Ni ngumu elimu hiyo chafu kuileta kufanya kazi kwenye ulimwengu wa nuru kwa kunufaisha jamii, kwasababu ni elimu ya ushetani. haiwezekani kwakua ndani kuna kukufuru na kumwaga damu. Wao hufurahia maisha hayo.
 
Ni ngumu elimu hiyo chafu kuileta kufanya kazi kwenye ulimwengu wa nuru kwa kunufaisha jamii, kwasababu ni elimu ya ushetani. haiwezekani kwakua ndani kuna kukufuru na kumwaga damu. Wao hufurahia maisha hayo.
Mbona Ulaya na Marekani wanatumia Ushetani kuendeleza Sayansi na teknolojia ila Africa sasa hovyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…