Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Ndio wanachomwa kwa kukaangwa kwenye chunguMafuta?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio wanachomwa kwa kukaangwa kwenye chunguMafuta?
Apia[emoji23]Mchawi ndie kiumbe mwenye upeo mdogo sana wa kufikiri kuliko viumbe vyote Duniani
Laana sumaka wachawi why 🤥Ndio wanachomwa kwa kukaangwa kwenye chungu
Soma makala hiyo ukipata nafasi na mudaIliyoibiwa kwenda wapi?
Uthibitisho tafadhari
Ndakubonye MwambaGod Bless You,
Ni miongoni mwa watu wanaoharibu sana ustawi wa afya ya jamiicontribution of traditional healers to the community
Mtu mwenye akili timamu hawezi kuwa Mchawi
HahahaSwali ( Kidogo nje ya mada ) Je wewe ni mmoja kati ya wale wahitimu 400
1-Wanajificha kwasababu uchawi ni ushetani, shetani hataki nuru na mambo yake huwa ni ya siri na unayatafuta mwenyewe.mimi naomba nikuswalike kidogo
1.kwann wachawi wanajificha sana yani hawataki wajulikane km wanafanya uchawi?
2.je wachawi wanafurahia maisha km watu wasio wachawi maana naona km wanataabika sana kwa mfano usiku wkt watu wamelala wao wapo angani sijui makaburini na kwingineko. Je uchawi unalazimishwa kwamba ukiingia basi hamna kutoka maana ayo maisha naona km magum sn.
3.ivo vitu ulivoonesha pichani vipo laibrari au ni wapi apo?
Kumbe mleta mada ni muongo?Wajinga nyie....umaskini umewajaa badala watumie ujanja huo kupata kipato na kukuza teknoolojia mmekalia uongo tu
Huwezi kuamini uchawi ni hadi yakukuteKumbe mleta mada ni muongo?
Uchawi hamna,halafu anatuonhopea aisee...