Fahamu jinsi ya kutengeneza ndege ya kichawi, kwenda kokote Duniani

Wachawi hutumia kifaa gan kuchanja watu usiku,pia ni nin dhumuni la wachawi kuchanja/kuweka chale kwenye mwili wa mtu pale awapo usingizini.
'Gamba la Kaa' ndio Kifaa kinachotumika kuchanja chale, kunyoa nywele na kukata kucha za watu ni: Dhumuni la kuchanjwa chale ni hatua za awali za kuanza kutumika kichawi japo upo hai.

 
Ikikupendeza mwenzio natamani kupata hiyo elimu nisaidie tu .

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
 
Kuwanga ni Kusambira' ( kuzunguka moto), kabla wachawi hajawakwenda kudhuru watu lazima wasambire, wawange kwanza, ambapo hapo moto utawashwa na nyimbo zitapigwa, hii ni baada ya firimbi ya kilinge kuwaita.

Kwa nini baadhi ya wanga hukamatwa wamevaa kaniki na wengine hukutwa watupu kabsaa. Hakuna code maalumu kwa mfano mchawi awange akiwa kavaa kitenge
 
Hivi unaweza kwenda kwenye Sayari nyingine kichawi au Kwenye Mwezi, mfano Chini ya Bahari na kwingineko ambapo sio rahisi binaadam Kufika??
Sheria inakataza wachawi kuruka zaidi ya mita 150 kwasababu huko juu kuna viumbe wengine wenye nguvu zaidi, mchawi hawezi kuruka kwenda juu zaidi ya mita 150. Pia kila anga lina ulinzi wake hivyo sio kwamba wachawi wanaruka ruka tu, hapana kuna njia zao wanapita. Ukivunja sheria unashushwa chini.
 
Kwa nini baadhi ya wanga hukamatwa wamevaa kaniki na wengine hukutwa watupu kabsaa. Hakuna code maalumu kwa mfano mchawi awange akiwa kavaa kitenge
Uvaaji wa mavazi maalumu ni kaniki za kuwangia, nyeupe, nyeusi na nyekundu hayo ndio mavazi maalum: Kuwanga ni unatakiwa kuwa uchi wa mnyama, wanaovalia kaniki ni wale wageni ambao bado hawajazoea na ndio wengi hukamatwa.
 
Umbali nao mwisho ni km ngapi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…