Fahamu jinsi ya kutengeneza pesa kutumia Mobile App

Mtoa mada unajifurahisha hivi maisha yangekuwa simple hivyo si kila mtu angekuwa coder?...Tuache uvivu kams tunapenda kupata hela via codes
hhahaha wewe jamaa hujielewi kabisa hivi kwenye maelezo yangu umeona nimefundisha mtu kufanya coding
usitake kila mtu afate mawazo yako kutengeneza funny app sio lazima ujue coding
blog app sio lazima ujue coding

kama umeshindwa kuelewa basi tulia tu
 
sasa kijana unajiona kuwa wewe ndo unajielewa? Nyie ndo makanjanja mjini mnatapeli watu na kuharibu industry nzima ya IT bongo
 
sasa kijana unajiona kuwa wewe ndo unajielewa? Nyie ndo makanjanja mjini mnatapeli watu na kuharibu industry nzima ya IT bongo
ok tufanye wewe mshindi sasa naona unatoa povu as if kuna mtu nimemdai hela hapo au nimetangaza soko la mtu kuja inbox

zama humo ujionee kazi iliyopo sokoni now mtandao.xyz halafu ndo uje useme
 
ok tufanye wewe mshindi sasa naona unatoa povu as if kuna mtu nimemdai hela hapo au nimetangaza soko la mtu kuja inbox

zama humo ujionee kazi iliyopo sokoni now mtandao.xyz halafu ndo uje useme

Sijatoa povu wewe ndo unatoa povu,vitu kama hivyo viaua vipaji na creativity wewe unadhani hao waliotengeneza hizo app creator wangekuwa wanafanya ukanjanja kama wewe ungeiona hizo creators?
 
Sijatoa povu wewe ndo unatoa povu,vitu kama hivyo viaua vipaji na creativity wewe unadhani hao waliotengeneza hizo app creator wangekuwa wanafanya ukanjanja kama wewe ungeiona hizo creators?
sasa mbona hueleweki shida yako hasa
nimefanya ukanjanja wapi? au hiyo app creator ni yangu? au kuna mtu nimemuambia lazima atumie hiyo app creator?

kati ya mimi niliyesema unaweza tengeneza app bila kujua coding na walioleta hizo app creator nani anaua vipaji?

tumia akili kufikiri na sio emotions zako ulizonazo
 

Anyway pigana tu kivyovyote kitaa kizito ila kujua codes ni muhimu kuliko hizo shortcuts,have a good day
 
Anyway pigana tu kivyovyote kitaa kizito ila kujua codes ni muhimu kuliko hizo shortcuts,have a good day
naona hapa ndo umepata akili ya kutoa ushauri kwa busara na sio yale maneno yako ya mwanzo
 
Hivyo kama huna blig na unaitaji kutengeneza App je unapiga vp pesa
 
Hii kitu
 
Vipi hizi App naeza peleka Playstore broo
 
Sasa na kwa sisi ambao hatuna website wala kuwa na blog tunafanyaje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…