Fahamu jinsi ya kutengeneza pesa kutumia Mobile App

watu design yako ilifaa tusome tu kwenye vitabu kwamba mlipigana vita vya majimaji nk basi lakin haya mambo ya kisasa hayawahusu kabisa
Yaani inaonekana hujui chochote kwenye hii industry ya Technology,mmeenda kusoma computer applications courses then mnakuja hapa kutunishiana misuli na expert wa haya mambo,have a respect to me and your self.
 
Yaani inaonekana hujui chochote kwenye hii industry ya Technology,mmeenda kusoma computer applications courses then mnakuja hapa kutunishiana misuli na expert wa haya mambo,have a respect to me and your self.

kama unajua kinacho kufanya ubishi ni nin umeambiwa unaweza kutengeneza pesa kupitia app we nae unasema mala ooh pesa kirahisi rahisi
 
Congratulation. Mtoa mada
Kuna watu wachache Sana wanaoweza kutoa madini kama yako hapa Tz.
Ila huyo mduwanzi anayekupinga mkaushie tu ndo kawaida yao wenye wivu.
Binafsi me ulichoeleza nina uzoefu nacho. Good Sana.
 
Hii nzuri sana
 
sio app, ni takataka

na haiwezi ingia playStore.
sikuwa hewani kwa kitambo ila kiufupi tu app hizo ukiingia play stor watu wanaweka bila shida maana kila wakati appcreator huongezea updates kwenye site yao so jaribu kuchunguza vyema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…