Fahamu jinsi ya kutunza ngozi, iwe yenye afya na inayovutia zaidi

Fahamu jinsi ya kutunza ngozi, iwe yenye afya na inayovutia zaidi

Lotion huku kwetu 8000 kopo kubwa
Maji yake 11000
Sijajua sehemu nyingine

Nimenunua hivi sabuni na mafuta nin kingine nini
 

Attachments

  • 6A5FCB6B-1412-4AFD-8D12-F8A3B5618398.jpeg
    6A5FCB6B-1412-4AFD-8D12-F8A3B5618398.jpeg
    85.5 KB · Views: 47
Wakuu tujuzane kuhusu utunzaji wa ngozi zetu.

Kiukweli ukiwa na ngozi nzuri laini/soft inapendeza na inavutia hasa usoni haijalishi ni ke or me. Na zipo njia tofauti za utunzaji wa ngozi na kila mtu ana aina yake ya utunzaji wa ngozi either kutokana na bidhaa anazotumia nikimaanisha lotion, mafuta, sabuni, scrub na vitu vingine.

Hebu tujuzane hapa wakuu unatumia nini kutunza ngozi yako? Kuhakikisha ngozi yako inavutia unakuwa na rangi moja, soft/laini

MB: Ngozi ya mwili nzima
.,.......
Grycelin kwangu ndio kilakitu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haya mafuta nimeyatumia na mineyakubali ila sasa pa kuyapata ndo sijui maana aliyekuwa ananiuzia anadai kampuni imefungwa, mwenye kujua pa kuyapata tafadhali anisaidie.
 

Attachments

  • 112147954_3081790978607603_160511667897773474_n.jpg
    112147954_3081790978607603_160511667897773474_n.jpg
    55.1 KB · Views: 48
Mwanzoni nilikuwa napata tabu chunusi ndio ugonjwa wangu, Kuna mmama nilikutana naye akanisidia sielew kitu gani kile ila anadai anachanganya mayai, kitunguu na asali na paka mwili mzima jamani nimekuwa laini mpaka najitamani chunusi , kwarara zote hamna. Sabuni natumia ya jorjous .
Mafuta yake yanaitwaje?
 
nilikua napaka parachute mwili mzima nlikuwa na rangi yangu nzuri tu nkahamia kwenye botour nikawa mweupe nikaiacha nkapaka american dream promo nyingii ila ya kawaida labd haikunipenda ila niliona ya kawiada sana rafk ang mmoja akanishaur kupaka clinik clear nachangya na glycel ya kopo lile la njano nkamuona huyu shoga vp kwa nn asipake yeye akasema wenye ngz kam yang maji ya kunde ndo inawapendeza sana kaona watu km 3 ofsn kwao wametumia wana rangi nzur mnooo nkabisha akaninunulia mwenyew gharama yake ni kama elf 10 tu nkachkua nkaanza kupaka ivo ivo yan uku naogpa san mara rangi inanoga aisee nimekuwa mzur rangi ya chocolote sas iv nimeshtmia km kopo 3 😀 alf very cheap
Naomba unipigie picha nivione mkuu
 
Back
Top Bottom