Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 50,587
- 71,492
Dada yangu anaitumia hiyo hua anachanganya na serum yake..ana ngozi tamuu balaa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Vinauzwa ngapi
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dada yangu anaitumia hiyo hua anachanganya na serum yake..ana ngozi tamuu balaa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wametoa Serum yao aisee ukichanganya hata na Queen Elizabeth ukapaka mwilini ni balaa.
Lotion huku kwetu 8000 kopo kubwa
Lotion huku kwetu 8000 kopo kubwa
Maji yake 11000
Sijajua sehemu nyingine
Grycelin kwangu ndio kilakitu.Wakuu tujuzane kuhusu utunzaji wa ngozi zetu.
Kiukweli ukiwa na ngozi nzuri laini/soft inapendeza na inavutia hasa usoni haijalishi ni ke or me. Na zipo njia tofauti za utunzaji wa ngozi na kila mtu ana aina yake ya utunzaji wa ngozi either kutokana na bidhaa anazotumia nikimaanisha lotion, mafuta, sabuni, scrub na vitu vingine.
Hebu tujuzane hapa wakuu unatumia nini kutunza ngozi yako? Kuhakikisha ngozi yako inavutia unakuwa na rangi moja, soft/laini
MB: Ngozi ya mwili nzima
.,.......
Mi nataka ninunue bio oil ya mwilini hivi ni nzuri au kelele tu za watu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi huwa natumia mafuta ya nazi kwa mwili mzima,
Mafuta ya nazi yapi
Parachuti
Minara
Halisi
Au unachemsha mwenyewe
Sent using Jamii Forums mobile app
so kwa kipindi hiki yanafaa yapi?Parachuti ( Lakini sio kwa kipindi hiki na hii baridi na upepo utatoka magamba kabisa)
Mafuta yake yanaitwaje?Mwanzoni nilikuwa napata tabu chunusi ndio ugonjwa wangu, Kuna mmama nilikutana naye akanisidia sielew kitu gani kile ila anadai anachanganya mayai, kitunguu na asali na paka mwili mzima jamani nimekuwa laini mpaka najitamani chunusi , kwarara zote hamna. Sabuni natumia ya jorjous .
Naomba unipigie picha nivione mkuunilikua napaka parachute mwili mzima nlikuwa na rangi yangu nzuri tu nkahamia kwenye botour nikawa mweupe nikaiacha nkapaka american dream promo nyingii ila ya kawaida labd haikunipenda ila niliona ya kawiada sana rafk ang mmoja akanishaur kupaka clinik clear nachangya na glycel ya kopo lile la njano nkamuona huyu shoga vp kwa nn asipake yeye akasema wenye ngz kam yang maji ya kunde ndo inawapendeza sana kaona watu km 3 ofsn kwao wametumia wana rangi nzur mnooo nkabisha akaninunulia mwenyew gharama yake ni kama elf 10 tu nkachkua nkaanza kupaka ivo ivo yan uku naogpa san mara rangi inanoga aisee nimekuwa mzur rangi ya chocolote sas iv nimeshtmia km kopo 3 😀 alf very cheap
Unatengenezaje mamii?
Mafuta ya nazi unatengenezaje dear? ( Home remedy?[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Parachute au tengeneza mwenyewe(cold process)
Sent using Jamii Forums mobile app
Bei yake vip hiyo dear?Wametoa Serum yao aisee ukichanganya hata na Queen Elizabeth ukapaka mwilini ni balaa.