Fahamu kama iphone yako ni Brand new au refurbished pamoja na origini ya iphone.


Haya, rudisha simu kwa Mama yako Monica sasa!
 
Mkuu ...KN/A ni nchi gani?
 
asante sana tupunguze kupigwa
 
Asante kuna simu ya jamaa hapa inaanza na N tumejaribu kuitazama kwenye web support ya apple inatambulika, tumeangalia kwenye imei check iko correct, tumeangalia tcra imei check pia iko sawa. Namba za model ni LL/A niambie hiyo ni nchi gani?

USA/canada
 
iPhone ni iPhone sijui unauziwaje Feki kuna watu 2020 bado akili za kujua feki na OG ni Tatizo bado sio simu tu hata vitu vingine unauziwaje feki .?? SMH[emoji2957]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…