Chairman Lee
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 1,353
- 1,492
Nataka niachane na Samsung sasa nisije vamia kambi kichwa kichwaiko vizuri ila huwezi ilinganisha na 7plus.
ina ram 2gb wakati 7plus ina 3gb.
ina camera nzuri ya 12mp,ila 7plus ina dual camera inapiga potrait.
yaani kigugumizi labda 6s vs 7plain,ingawa nazo hazilingani.