Fahamu kidogo kuhusu magari ya mizigo nchini Tanzania

Fahamu kidogo kuhusu magari ya mizigo nchini Tanzania

Toyota Dyna sifa zake haswa kwenye uimara wa gari ni nzuri zaidi ya Townace au Toyoace, ugumu wa body mpaka injini. Sijaiongelea sababu ni ngumu kuongelea gari zote hapa jambini ntawachosha wasomaji. Faida yake ya zaida ni kwamba zile za miaka sawa na Townace nyingi zina double cabin japo hii huganta saizi ya bodi la mizigo kupungua kidogo ukilinganisha na Townace
Tunaomba Uielezee kwa kina.... Na gharama zake
 
Umetisha mkuu, bado kidogo miezi kama 60 ivi ijayo ntakuja hapo mniagizie garii
 
Ulianza kwa kutaja cc lakini ukaacha kwa hizo gari kubwa
 
Kuagiza ni nafuu kidogo. Na pia hizo gari Scania hazishuki thamani kwa haraka kama magari mengine. Gari ambayo sisi tunakuagizia kwa hiyo 75m ukiikuta mtu kaileta ili auze apate faida atakuuzia kwa 90m. Sisi hatuweki faida na hesabu ziko wazi kila hatua, sisi tunalipwa na supllier huko nje
Nilikuwa naulizia pick up kama za Ford Ranger used, ambazo unaweza ukavalisha mfuniko kwa nyuma
kama kwenye picha hapo chini, ikiwa na mfuniko wake naweza kupata kwa sh ngapi hadi usajil na kila kitu

Hii nimekuta inauzwa dola 9,500 sijui kuiletea hadi Tz inakua sh. Ngapi, au inayofanania na hiyo

Pia ushauri wake kuhusu ugumu wa hyogari, maana nataka niwe naifanya ni ya kupiga kazi na pia familia kwa ajili ya kusafiri

39964277.jpg
 
Nilikuwa naulizia pick up kama za Ford Ranger used, ambazo unaweza ukavalisha mfuniko kwa nyuma
kama kwenye picha hapo chini, ikiwa na mfuniko wake naweza kupata kwa sh ngapi hadi usajil na kila kitu

Hii nimekuta inauzwa dola 9,500 sijui kuiletea hadi Tz inakua sh. Ngapi, au inayofanania na hiyo

Pia ushauri wake kuhusu ugumu wa hyogari, maana nataka niwe naifanya ni ya kupiga kazi na pia familia kwa ajili ya kusafiri

View attachment 1237876
Hii kama ni ya 2007 kwa CIF hiyo 9500 inafika kwa 47,785,000. Kuna ambazo zinakuja kwa CIF 7000 inayoweza kukufanya uokoe zaidi ya 5m
 
Zipo boss. Za series ya injini bora ya 4D ni za kutafuta boss, ila nyingi ni series ya injini ya 4M ambazo hazishauriwi sana na mafundi
Achana na Habari za mafundi wa mtaani wanapotosha Sana watu

4m 51 mi ninayo mwaka huu unaenda wa kumi na ni body ya tipper, sijafungua injini zaidi ya kubadilisha injector pump
Very powerful na very efficient engine
 
Kwa hiyo unamaanisha naweza kununua hata kwa milioni 42 sio? kwa milioni 30 siwezi kupata?
Kabisa boss hii ukiwa na 42m unapata ambayo iko vizuri na hicho kifuniko chake ya 2007 ambayo inaonekana kua ya kisasa kidogo. Lakini kwa zile za 2003-2006 unaweza kupata hata kwa 36 na mara nyingi hazina kifuniko cha nyuma.
 
Kabisa boss hii ukiwa na 42m unapata ambayo iko vizuri na hicho kifuniko chake ya 2007 ambayo inaonekana kua ya kisasa kidogo. Lakini kwa zile za 2003-2006 unaweza kupata hata kwa 36 na mara nyingi hazina kifuniko cha nyuma.
asante sana kwa majibu mazuri, hapo kwenu mnaziagiza pia?
 
Salama wanajukwaa?

Leo tutagusia baadhi ya gari za mizigo ambazo hupendelewa zaidi hapa nchini kwetu Tanzania. Tutaziangalia kuanzia ndogo kabisa kuelekea zile kubwa...

Kilo 350 unazijua??

Kirikuu kirikuu kina kilo zisizopungua 600kg hiyo ya 350 ni yenu
 
Zipo boss. Za series ya injini bora ya 4D ni za kutafuta boss, ila nyingi ni series ya injini ya 4M ambazo hazishauriwi sana na mafundi
Vipi kwenye bei Mkuu?

Hizo injini 4D&4M zikiwa zote uzito sawa na bei inalingana?
 
ungeweka mchanganuo wa magari ya abiria ungekua umetusaidia sana na sisi tunaopenda magari hayo
 
Suzuki carry za engine ya injector nasikia ni bora zaidi
 
Back
Top Bottom