Fahamu kidogo kuhusu Sadio Kanuote, tukutane nusu fainali CAFCL

Fahamu kidogo kuhusu Sadio Kanuote, tukutane nusu fainali CAFCL

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
20210821_052824.jpg

Huyu Sadio alikuwa Man of the Match CHAN2020 huko Comeroon.

20210821_052907.jpg

Sadio akawa Man of the Match kwa mara ya pili CHAF2020

Kisha akaipeleka Mali fainali ya CHAN2020 ikicheza na mabingwa Morroco ambapo Mali ilitolewa kwa 2-0, Februari 2021. Huko Morroco katika games zote alizocheza alikuwa anaongoza kwa accurate passes

crcgyzwsq0p70flbbcn5.png

Mwisho Sadio akawa kwenye kikosi bora cha CHAN2020.

Najua kina Utopolo wanaumia na hizi data,nyie tukutane Ngao ya Jamii tuwachezeshe Ndombolo ya Solo

Wale vigogo wenzetu Afrika tukutane Nusu Fainali CAFCL
 
View attachment 1900785
Huyu Sadio alikuwa Man of the Match CHAN2020 huko Comeroon.

View attachment 1900786
Sadio akawa Man of the Match kwa mara ya pili CHAF2020

Kisha akaipeleka Mali fainali ya CHAN2020 ikicheza na mabingwa Morroco ambapo Mali ilitolewa kwa 2-0, Februari 2021. Huko Morroco katika games zote alizocheza alikuwa anaongoza kwa accurate passes

View attachment 1900787
Mwisho Sadio akawa kwenye kikosi bora cha CHAN2020.

Najua kina Utopolo wanaumia na hizi data,nyie tukutane Ngao ya Jamii tuwachezeshe Ndombolo ya Solo

Wale vigogo wenzetu Afrika tukutane Nusu Fainali CAFCL
Jamaa wanalilia kuingia kupiga picture huko
 
Saido Kanoute ni mchezaji mchanga hajawahi kucheza kwenye mashindano makubwa ata mechi moja labda michuano ya Afrika ya wachezaji wa ndani, michuano ya Ligi ya Mabingwa na Confederation amecheza dk 500. Hajawai kufunga goli Wala kusababisha goli.
Ni mchezaji ambaye bado haijacheza mechi nyingi za kimataifa kwa ujumla ni mchezaji ambaye bado mchanga ndio ana chipukia. Ata kwenye iyo timuyake aliyotoka St Malien katika mechi za Klabu bingwa ameanza chache zingine ametokea bench.
 
Saido Kanoute ni mchezaji mchanga hajawahi kucheza kwenye mashindano makubwa ata mechi moja labda michuano ya Afrika ya wachezaji wa ndani, michuano ya Ligi ya Mabingwa na Confederation amecheza dk 500. Hajawai kufunga goli Wala kusababisha goli.
Ni mchezaji ambaye bado haijacheza mechi nyingi za kimataifa kwa ujumla ni mchezaji ambaye bado mchanga ndio ana chipukia. Ata kwenye iyo timuyake aliyotoka St Malien katika mechi za Klabu bingwa ameanza chache zingine ametokea bench.
Kumbe bado kilaza......
Simba wamechanganyikiwa na hilo jina Kanoute
 
View attachment 1900785
Huyu Sadio alikuwa Man of the Match CHAN2020 huko Comeroon.

View attachment 1900786
Sadio akawa Man of the Match kwa mara ya pili CHAF2020

Kisha akaipeleka Mali fainali ya CHAN2020 ikicheza na mabingwa Morroco ambapo Mali ilitolewa kwa 2-0, Februari 2021. Huko Morroco katika games zote alizocheza alikuwa anaongoza kwa accurate passes

View attachment 1900787
Mwisho Sadio akawa kwenye kikosi bora cha CHAN2020.

Najua kina Utopolo wanaumia na hizi data,nyie tukutane Ngao ya Jamii tuwachezeshe Ndombolo ya Solo

Wale vigogo wenzetu Afrika tukutane Nusu Fainali CAFCL
Simba wangemuona huyo dogo namba 10 pengo la chama lisingeonekana kwa kiasi kikubwa.
 
Saido Kanoute ni mchezaji mchanga hajawahi kucheza kwenye mashindano makubwa ata mechi moja labda michuano ya Afrika ya wachezaji wa ndani, michuano ya Ligi ya Mabingwa na Confederation amecheza dk 500. Hajawai kufunga goli Wala kusababisha goli.
Ni mchezaji ambaye bado haijacheza mechi nyingi za kimataifa kwa ujumla ni mchezaji ambaye bado mchanga ndio ana chipukia. Ata kwenye iyo timuyake aliyotoka St Malien katika mechi za Klabu bingwa ameanza chache zingine ametokea bench.
Jesus Moloko kacheza mechi ngapi za kimataifa na ana magoli mangapi ?
 
Jesus Moloko kacheza mechi ngapi za kimataifa na ana magoli mangapi ?
Jesus Moloko ana miaka 23, amecheza mechi 35 za mashindano ya CAF champion league na Confederation, ana goli 4. Kwa umri wake amewazidi wachezaji wengi kwa uzoefu wa mashindano ya CAF.
 
Saido Kanoute ni mchezaji mchanga hajawahi kucheza kwenye mashindano makubwa ata mechi moja labda michuano ya Afrika ya wachezaji wa ndani, michuano ya Ligi ya Mabingwa na Confederation amecheza dk 500. Hajawai kufunga goli Wala kusababisha goli.
Ni mchezaji ambaye bado haijacheza mechi nyingi za kimataifa kwa ujumla ni mchezaji ambaye bado mchanga ndio ana chipukia. Ata kwenye iyo timuyake aliyotoka St Malien katika mechi za Klabu bingwa ameanza chache zingine ametokea bench.
mashindano ya CHAN nayo ni madogoo hapa Africa??
kawa mchezaji bora wa gem mbili za hayo mashindano kawa kwenye timu bora ya mashindano
bado tuu unamuona uwezo wake sawa na kina Nchimbi au kina Fey totoo??
 
Back
Top Bottom