rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 16,784
- 23,312
Labda unamzungumzia mchezaji mwingine huyu tunayemfahamu ametokea timu ya Libya na siyo unayoisemaSaido Kanoute ni mchezaji mchanga hajawahi kucheza kwenye mashindano makubwa ata mechi moja labda michuano ya Afrika ya wachezaji wa ndani, michuano ya Ligi ya Mabingwa na Confederation amecheza dk 500. Hajawai kufunga goli Wala kusababisha goli.
Ni mchezaji ambaye bado haijacheza mechi nyingi za kimataifa kwa ujumla ni mchezaji ambaye bado mchanga ndio ana chipukia. Ata kwenye iyo timuyake aliyotoka St Malien katika mechi za Klabu bingwa ameanza chache zingine ametokea bench.
shabiki wa simba na pesa wapi na wapi mzee.Badae akiuzwa msianze kuuliza pesa imeingizwa akaunti ipi!!?
Ahahaha kweli Luc hakukosea kuwaita mbwa koko. Unabweka tu bila point za msingiSaido Kanoute ni mchezaji mchanga hajawahi kucheza kwenye mashindano makubwa ata mechi moja labda michuano ya Afrika ya wachezaji wa ndani, michuano ya Ligi ya Mabingwa na Confederation amecheza dk 500. Hajawai kufunga goli Wala kusababisha goli.
Ni mchezaji ambaye bado haijacheza mechi nyingi za kimataifa kwa ujumla ni mchezaji ambaye bado mchanga ndio ana chipukia. Ata kwenye iyo timuyake aliyotoka St Malien katika mechi za Klabu bingwa ameanza chache zingine ametokea bench.
mkuu kuna vituko humu ndani π€£π€£π€£Labda unamzungumzia mchezaji mwingine huyu tunayemfahamu ametokea timu ya Libya na siyo unayoisema
pamoja na kuweka picha,bado jamaa anabwekaAhahaha kweli Luc hakukosea kuwaita mbwa koko. Unabweka tu bila point za msingi
So endelea kujifarSaido Kanoute ni mchezaji mchanga hajawahi kucheza kwenye mashindano makubwa ata mechi moja labda michuano ya Afrika ya wachezaji wa ndani, michuano ya Ligi ya Mabingwa na Confederation amecheza dk 500. Hajawai kufunga goli Wala kusababisha goli.
Ni mchezaji ambaye bado haijacheza mechi nyingi za kimataifa kwa ujumla ni mchezaji ambaye bado mchanga ndio ana chipukia. Ata kwenye iyo timuyake aliyotoka St Malien katika mechi za Klabu bingwa ameanza chache zingine ametokea bench.
Kama simba itatinga hatua ya nusu fainali manara sijui ataficha wapi uso wake.....View attachment 1900785
Huyu Sadio alikuwa Man of the Match CHAN2020 huko Comeroon.
View attachment 1900786
Sadio akawa Man of the Match kwa mara ya pili CHAF2020
Kisha akaipeleka Mali fainali ya CHAN2020 ikicheza na mabingwa Morroco ambapo Mali ilitolewa kwa 2-0, Februari 2021. Huko Morroco katika games zote alizocheza alikuwa anaongoza kwa accurate passes
View attachment 1900787
Mwisho Sadio akawa kwenye kikosi bora cha CHAN2020.
Najua kina Utopolo wanaumia na hizi data,nyie tukutane Ngao ya Jamii tuwachezeshe Ndombolo ya Solo
Wale vigogo wenzetu Afrika tukutane Nusu Fainali CAFCL
Mudi katufundisha uvumilivu tutamvumilia tu mpaka atakapoanza kuwasha motoSaido Kanoute ni mchezaji mchanga hajawahi kucheza kwenye mashindano makubwa ata mechi moja labda michuano ya Afrika ya wachezaji wa ndani, michuano ya Ligi ya Mabingwa na Confederation amecheza dk 500. Hajawai kufunga goli Wala kusababisha goli.
Ni mchezaji ambaye bado haijacheza mechi nyingi za kimataifa kwa ujumla ni mchezaji ambaye bado mchanga ndio ana chipukia. Ata kwenye iyo timuyake aliyotoka St Malien katika mechi za Klabu bingwa ameanza chache zingine ametokea bench.
Subiri kwa Mkapa.Muda ni mwalimu mzuri.Nyama pori italiwa na mifupa yake bila huruma.Kamwe hutasahau du Wana mtakalobebeshwa.Simba kama dula mbabeView attachment 1900785
Huyu Sadio alikuwa Man of the Match CHAN2020 huko Comeroon.
View attachment 1900786
Sadio akawa Man of the Match kwa mara ya pili CHAF2020
Kisha akaipeleka Mali fainali ya CHAN2020 ikicheza na mabingwa Morroco ambapo Mali ilitolewa kwa 2-0, Februari 2021. Huko Morroco katika games zote alizocheza alikuwa anaongoza kwa accurate passes
View attachment 1900787
Mwisho Sadio akawa kwenye kikosi bora cha CHAN2020.
Najua kina Utopolo wanaumia na hizi data,nyie tukutane Ngao ya Jamii tuwachezeshe Ndombolo ya Solo
Wale vigogo wenzetu Afrika tukutane Nusu Fainali CAFCL
badala ya kufikiria mashabiki na uwekezaji,unamfikiria Manara π₯π₯Kama simba itatinga hatua ya nusu fainali manara sijui ataficha wapi uso wake.....
Karibu sana group stage ya Champions mkuu.View attachment 1900785
Huyu Sadio alikuwa Man of the Match CHAN2020 huko Comeroon.
View attachment 1900786
Sadio akawa Man of the Match kwa mara ya pili CHAF2020
Kisha akaipeleka Mali fainali ya CHAN2020 ikicheza na mabingwa Morroco ambapo Mali ilitolewa kwa 2-0, Februari 2021. Huko Morroco katika games zote alizocheza alikuwa anaongoza kwa accurate passes
View attachment 1900787
Mwisho Sadio akawa kwenye kikosi bora cha CHAN2020.
Najua kina Utopolo wanaumia na hizi data,nyie tukutane Ngao ya Jamii tuwachezeshe Ndombolo ya Solo
Wale vigogo wenzetu Afrika tukutane Nusu Fainali CAFCL
Gurupu sitejibadala ya kufikiria mashabiki na uwekezaji,unamfikiria Manara [emoji26][emoji26]
Gurupuu la telegilamu
anachukua anaweka waaaahKama simba itatinga hatua ya nusu fainali manara sijui ataficha wapi uso wake.....
Nusu fainali ya Ndondo cup au?View attachment 1900785
Huyu Sadio alikuwa Man of the Match CHAN2020 huko Comeroon.
View attachment 1900786
Sadio akawa Man of the Match kwa mara ya pili CHAF2020
Kisha akaipeleka Mali fainali ya CHAN2020 ikicheza na mabingwa Morroco ambapo Mali ilitolewa kwa 2-0, Februari 2021. Huko Morroco katika games zote alizocheza alikuwa anaongoza kwa accurate passes
View attachment 1900787
Mwisho Sadio akawa kwenye kikosi bora cha CHAN2020.
Najua kina Utopolo wanaumia na hizi data,nyie tukutane Ngao ya Jamii tuwachezeshe Ndombolo ya Solo
Wale vigogo wenzetu Afrika tukutane Nusu Fainali CAFCL
What's apu gurupuGurupuu la telegilamu