FRANC THE GREAT
JF-Expert Member
- May 27, 2016
- 5,500
- 8,060
- Thread starter
- #2,101
UPDATE: Ujerumani
Visa vipya 404 pamoja na kifo kipya kimoja (1) vimeripotiwa hii leo nchini humo.
Visa vyote nchini humo vimefikia 4,585 hadi sasa huku vifo tisa (9) vikiripotiwa.
Wagonjwa 46 hadi sasa wameripotiwa kupata ahueni.
Mamlaka za mji mkuu, Berlin na ya jiji la Cologne katika jimbo la North Rhine Westfalia zimetangaza kufungwa baa, vilabu vya starehe, majumba ya sinema na kumbi za matamasha.
Kuanzia sasa hafla yoyote inayohusisha watu 50 au zaidi katika mji wa Berlin imepigwa marufuku.
Visa vipya 404 pamoja na kifo kipya kimoja (1) vimeripotiwa hii leo nchini humo.
Visa vyote nchini humo vimefikia 4,585 hadi sasa huku vifo tisa (9) vikiripotiwa.
Wagonjwa 46 hadi sasa wameripotiwa kupata ahueni.
Mamlaka za mji mkuu, Berlin na ya jiji la Cologne katika jimbo la North Rhine Westfalia zimetangaza kufungwa baa, vilabu vya starehe, majumba ya sinema na kumbi za matamasha.
Kuanzia sasa hafla yoyote inayohusisha watu 50 au zaidi katika mji wa Berlin imepigwa marufuku.