Fahamu kinachojiri kuhusiana na kirusi cha Corona (Coronavirus)

UPDATE: Kamisheni ya afya ya China imeripoti visa vipya 20 sanjari na vifo vipya 14 nchini humo hii leo.

Visa vinne (4) pamoja na vifo vyote 14 ni kutokea Hubei pekee.

Hadi hivi sasa, idadi ya visa vyote nchi nzima ni 80,860 vikiwemo vifo 3,213.

Waliotibiwa na kupata ahueni wafikia 67,490 huku wengine 3,032 wangali wakiwa katika hali mbaya zaidi.
 
UPDATE: Korea Kusini

Visa vipya 74 vimeripotiwa hii leo nchini humo.

Mpaka kufikia sasa, jumla ya visa 8,236 vimeripotiwa nchi nzima vikiwemo vifo 75.

Wagonjwa wapatao 1137 mpaka sasa wameripotiwa kupata ahueni huku wengine 36 wangali wakiwa katika hali mbaya zaidi.
 
Tovuti ya Wizara ya Afya Tanzania https://moh.go.tz/en/

Tovuti ya Shirika la Afya Duniani WHO Home


Omba kwa Mungu wako unayemuamini akulinde wewe na uwapendao.

Punguza / acha kabisa tabia ya kujishika maeneo ya usoni (macho, pua, mdomo) maana virusi hivyo vya COVID-19 humuingia binadamu kupitia viungo hivyo. Kwa ulazima wa kujishika sehemu hizo, hakikisha umenawa mikono vizuri kwa maji na sabuni.

Punguza / acha kabisa tabia ya kusalimiana kwa kupeana mikono au kukumbatiana.

Epuka mikusanyiko isiyo ya lazima.

Ikitokea mikusanyiko ya ulazima, basi nunua face mask (zinauzwa katika hardwares, maduka ya dawa n.k) kisha kabla ya kuvaa, nawa mikono yako kwa sabuni na maji, kisha ivae ikifunika pua yako na mdomo.

Utokapo katika mikusanyiko au nje ya unapoishi, nawa mikono yako vizuri kwa maji yanayotiririka na sabuni.

Ripoti katika hospitali au ongozi wa unapoishi kama uonapo dalili za ugonjwa huo wa COVID-19 kwako, au kwa mtu unayemfahamu.

Dalili za COVID-19 na taarifa zingine kuhusu ugonjwa huu zinapatikana katika tovuti za Wizara ya Afya Tanzania pamoja na Shirika la Afya Duniani WHO.
Tovuti hizo nimeziambatanisha mwanzo wa comment hii.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu FRANC THE GREAT tafadhali naomba nikusumbue tena kama unaweza kutupa updates nzima kwa nchi za Afrika
 
Hakika Akili ni nywele kila mtu ana zake!
Wakati dunia inahangaika na kutapatapa kujinasua na Corona!

Zipo tuhuma kwamba virusi hivi vilitengenezwa na watu ili kukidhi haja zao!
Wakati dunia inahangaika kutafuta tiba kumbe kuna kamati ya roho mbaya inatapanya ugonjwa usambae dunia nzima!
Watu wanalipwa madola kuuvusha ugonjwa huu mataifa ya mbali, watu wanapakaza na kuambukiza wenzao kwa makusudi kutimiza lengo n.k

Kiufupi Adui wa mtu ni mtu

Hapo ndipo zao la Donor fund project linapoibua FAIDA kwa mataifa!

Pamoja na kilio cha mataifa changa kutokuwa na pesa kupambana na ugonjwa huu wa Corona!

Lakini tukumbuke kwamba Mvua njoo katarina njoo!

Watu kupitia ugonjwa huu watapiga pesa ndefu!

Hadi Corona itakapoisha kuna watu watakuwa wametajirika ajabu!

Inauma sana kwa upande mwingine!

Nimetafta mtoto wa kiume kwa miaka kumi na tano paspo mafanikio!; hatimae nimebahatika mwaka huu inauma sana kusikia kuna CORONA !

......BINADAM WABAYA SANA....
 
UPDATE: Ujerumani

Visa vipya 435 vimeripotiwa hii leo nchini humo sambamba na kifo kipya kimoja (1).

Visa vyote nchini Ujerumani vimefikia 6,248 hadi sasa vikiwemo vifo 13 kutokana na COVID-19.

Wagonjwa 58 hadi sasa wameripotiwa kupata ahueni.
 
UPDATE: Uhispania

Visa vipya 900 sanjari na vifo vipya vitano (5) vimeripotiwa hii leo.

Idadi ya visa vyote nchini humo ni 9,407 hadi hivi sasa nchi nzima.

Waliopoteza maisha nchini humo kutokana na COVID-19 wafikia 335 hadi sasa.

Mpaka hivi sasa, wagonjwa wapatao 530 wametibiwa dalili za COVID-19 na kupata ahueni huku wengine 410 wakiwa katika hali mbaya zaidi.
 
NEWS ALERT: First participant in US coronavirus vaccine trial to be given dose

The first participant in a clinical trial for a vaccine against Covid-19 will receive an experimental dose on Monday, according to a US government official.

The trial, taking place at the Kaiser Permanente Washington Health Research Institute in Seattle, will involve 45 young, healthy volunteers who will be given shots of the vaccine. [The Guardian]
 
NEWS ALERT: Malaysia has imposed sweeping measures to slow the spread of coronavirus, after the number of cases confirmed in the country rose to 553.

The country will ban all mass gatherings, including religious, sports and social activities. All citizens will be banned from travelling overseas, and any Malaysians returning to the country will be required to self quarantine for 14 days. No foreign tourists will be allowed entry. [The Guardian]
 
NEWS ALERT: Morocco to close all mosques from today as a protective measures against the coronavirus outbreak, the country's supreme religious council said.

Morocco will also close eateries, cinemas, theatres, sports, public clubs, baths, and other entertainment venues starting from Monday, the Interior Ministry said earlier in the day. [Al Jazeera]
 
NEWS ALERT: Dubai is closing all bars and lounges in the emirate with immediate effect until the end of March due to the coronavirus outbreak, according to a government circular.

Popular Dubai bar Barasti said on social media it was closing until the end of the month, in line with a directive from the authorities. [Al Jazeera]
 
NEWS ALERT: Ghana imetangaza kufungwa kwa shule zote na vyuo vikuu nchi nzima na kusitishwa hafla za umma ili kukomesha kuenea kwa virusi vya Corona ambapo visa vipatavyo sita (6) hadi sasa vimeripotiwa nchini humo.

Rais Nana Akufo-Addo katika hotuba kwa taifa ametangaza kufungwa kwa shule na vyuo vikuu mpaka hapo itakapotangazwa tena.

Makusanyiko ya umma, mikutano ya kisiasa, kidini, michezo pia imesimamishwa kwa wiki nne.
 
UPDATE: COVID-19 Duniani

Hadi hivi sasa, idadi ya visa vilivyothibitishwa ulimwenguni kote imefikia 173,955. Kati ya hivyo, vifo ni 6,686.

Wagonjwa wapatao 77,520 wametibiwa na kupata ahueni huku visa vipatavyo 89,749 duniani, bado havijapatiwa ufumbuzi.

Hiyo ni kulingana na takwimu rasmi.
 
NEWS ALERT: More than half a billion children and youth are unable to go to school because of the coronavirus, the UN education agency said, as the outbreak continues to spread to new countries. [Al Jazeera]
 
Wameuhamisha, hawajakutendea haki
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…