Hata mimi naona hivyo yaani panic imekuwa kubwa na sio jambo zuri kwa watu wenye umri mkubwa au kina mamaI bet wazee wanaokufa ni sababu ya ugonjwa wa moyo, panic ndio inayouwa watu sio COVID-19.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yeah, fear is a great break
Sasa mask me nichukue ya nini?Wezi na wabakaji nao wamebuni mbinu mpya! Wana pulizia dawa ya usingizi kwenye mask; halafu wanakugawia uvae, ukivaa tu unasinzia wanafanya yao chap
Akili za kupewa ukichanganya na chukiHii ni laana kwa utawala wa mabavu wa ccm na wanachama wake, Mungu ataliangamiza Taifa na sisi sote kama hamtahacha unyama mnaoendelea kuutekeleza kupitia Tpdf. Police, NEC, prison, mahakama, TISS
Sent using Jamii Forums mobile app
Mleta uzi ambao umeunganishwa ndiye kaanza mimi nimemaliza.