Fahamu kinachojiri kuhusiana na kirusi cha Corona (Coronavirus)

Hiii nchi iko na,shda nyingi sana
Hata rais wa urus alikua anajua
Anachokisema

god is good
 
Hivi Naibu Spika yupo kwenye orodha ya wanaruhusiwa kutoa taarifa za wagonjwa wa COVID 19?


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Ndugu unataka Updates zipi tena zaidi ya kile Kilichotokea Usiku wa Kuamkia leo na Kinachoendelea sasa?
Tayari sasa kuna 257, watatu wamepoteza maisha jana. Taarifa rasmi ya Ummy Mwalimu.
 
Leo tayari tuna cases 250+ za wanaogua Covid-19 ni ongezeko la cases zaidi ya 100 ndani siku 4, Wizara ya Afya, wataalam wa Afya na Viongozi mbalimbali wamekuwa wakitukumbusha namna bora ya kupambana na janga hili la Dunia.

Tunatakiwa kunawa mikono na maji tiririka na sabuni, tuvae barakoa, tutumie vitakasa mikono, tuepuke misongamano, tufanye maombi ya dhati kadri ya imani zetu na mengine mengi.

Bado janga linaendelea kutamalaki Nchini, jukwaa linayo nafasi ya kishauri kitu bora, kwa mtazamo tofauti, kwa hatua mbadala na hata kwa namna zile zile lakini kwa mbinu tofauti, na zikatupa matokeo, mfano tunaweza kusema ni wasaha wa wataalam wa tiba asilia kushiriki na kuja dawa au tiba,huu ni mfano tu, tutumie jukwaa hili kuleta ufumbuzi kwa kuzingatia maisha yetu ya kila siku ya Mtanzania kwasababu wote tunajuana na tunajua namna tunavyoendesha maisha yetu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Toka hili janga limeanza nimekuwa nikifatilia mataifa makubwa yanavyoshughulika na hili janga kivutio kikubwa kwangu mie ni namna hawa vijana wa Adolf Hitler walivyo siriaz kwanza hawana mbwembwe pili ukiangalia namba za wanaokufa na wanaopona unaona wenzetu walijipanga nadhani wapo more advance kuliko hata china angalia mpk leo wana total cases 147,065 na wana total deaths 4,862 na total recovered 95,200 na active cases 47,003 ukiangalia wanaopona ni wengi zaidi kuliko wanaofariki wanafanya nini kuwa na mafanikio makubwa kwenye hili tofauti sana na sie tuna total deaths10 wakati recoverd 11 kuna jambo la kujifunza kwenye hili
 
Habari za majukumu wana JF.

Kuna jambo naliona linaendelea kuhusu takwim fake zinazotolewa za corona kwa bara la africa na ngozi nyeusi kwa ujumla.

Umoja wa mataifa ulitangaza kuwa Africa ndo inaelekea kuwa janga kubwa la Corona,lakini wamesahau marekani imefika zaidi ya laki saba huku nchini za africa zikiwa kwenye mia na ugongwa unasambaa kwa kasi dogo ukilinganisha na mataifa mengine.

Ajabu mataifa yao yanaonekana wako sehemu nzuri kuliko Africa na hawajakubali ni bora kuliko wao kwa ugongwa huu.

Marekani takwim zinatangazwa kwa kutenganisha.rangi nyeupe na nyeusi.

Wanadai weusi ndo wanapata sana corona,lakini makazini na mtaani watu weusi wanatamba hata haw
Hawanashida kama walivyo wao kila dakika ni mafua na kikoozi.

Najua wana maswali mengi kwanini hawa watu wako slow sana kupata ugongwa huu.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Estimated data za prediction zinaweza kukaribia usawa endapo data sio za kupika tofauti na hivyo tukitoa prediction tunaeza leta taharuki.

Kuna dkt mmoja marekani kafanya prediction kwa majimbo yote ya marekani na kwa baadhi ya nchi za ulaya.

Na amezingatia factors mbali mbali mfano availability ya vitanda, wahudumu afya, madaktari, mashime za kupulia n.k .

Na vifaa hivyo kavifanyia prediction kwamba hadi mwezi oktoba hali inaweza kuwaje??!!! .

Na ukiingia kwenye site yake Utaona prediction.

Mm ntakuletea prediction zangu ila sitabase kwenye data za tz .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sitegemei tupate uhalisia kwenye hili.. Hata kama tutakuwa na wataalam wenye weledi wa kufanya hili lakini am sure hawatakuwa tayari
Jr[emoji769]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…