Fahamu kinachojiri kuhusiana na kirusi cha Corona (Coronavirus)

Fahamu kinachojiri kuhusiana na kirusi cha Corona (Coronavirus)

Leo ndo wameanza toa taarifa za ukweli....

Wanasema namba imeongezeka kwani wanatumia CT Scan kwa sasa maana zile Testing kIT haifanyi kazi kwa ufasaha.
Tutegemee kesho yatakuwa makubwa na hivyo wale ndugu zetu walio kwenye huo mji twawapa pole kwao maana hawatarudi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Leo ndo wameanza toa taarifa za ukweli....

Wanasema namba imeongezeka kwani wanatumia CT Scan kwa sasa maana zile Testing kIT haifanyi kazi kwa ufasaha.
Tutegemee kesho yatakuwa makubwa na hivyo wale ndugu zetu walio kwenye huo mji twawapa pole kwao maana hawatarudi

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji22][emoji22][emoji848][emoji848]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji51][emoji51][emoji51]
Screenshot_20200213-171314-picsay.jpeg
 
Nimetoka supermarket nimekutana na wachina wawili,mmoja kavaa mask ;
kila nikimkwepa namkuta mbele..nikawahi njia ingine niende bakery mbele namkuta anashika mikate nnayopenda
Nimechukua nikaondoka fasta sana ila niko kwny sala Mungu atuepushie mbali hili janga Amen
 
UPDATE: Marekani imethibitisha kisa cha 15 nchini humo.

U.S. officials reported the 15th case of coronavirus in the United States on Thursday.
The patient is said to be among those who had been evacuated from Wuhan, China, and placed under federal quarantine at Lackland Air Force Base in San Antonio, Texas. [Reuters]
 
Back
Top Bottom