Hii kasi ya South Korea ni hatari sana!
UPDATE: China
Visa kadhaa vimeripotiwa katika magereza mawili. Moja katika mkoa wa Zhejiang ambapo visa takribani 34 vimeripotiwa katika gereza hilo.
Gereza jingine ni katika mkoa wa Shandong ambapo visa 207 vimeripotiwa katika gereza hilo.
Atawanusuruje msipokuwa makini na kulinda mipaka? Kwa uzembe wa TZ pale JNIA sipati picha
yaani ni masikitiko mpendwaAtawanusuruje msipokuwa makini na kulinda mipaka? Kwa uzembe wa TZ pale JNIA sipati picha
Yani tuombe mungu ngoma ikifika kipawa tu mtu akapanda nao kwenye Eicher tumekwisha!
Hao jamaa toka nilivyoona wanapika mbwa mzimamzima na bichwa lake na kisha kumpasua kati na kuchota supu ya ndafu ya mbwa na kuifanya sehemu muhimu ya mlo wao na vile ilivyo nyeusi.! walinichefua sanaYaani ung'ang'anie kula popo halafu umsingizie Mungu?!Wachina waache kula kila kinachotembea! View attachment 1364104