Fahamu kinachojiri kuhusiana na kirusi cha Corona (Coronavirus)

China kujenga hospitali kwa siku sita mjini Wuhan itakayoweza kulaza watu 1000. Hii itakuwa record mpya ya dunia baada ya ile kujenga hospitali ndani ya siku Saba kupambana na kirusi SAR
Na bora hivi virusi vinajitokeza kwa watu wanaojitambua.

Najaribu kufikiri ingekuwa Tanzania sijui magufuli angeanza kushika wapi?

Kwa akili zake angemtumbua waziri wa Afya!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Corona virus is the newly known virus which was is believed to have started affecting people in the beginning of December. The virus affects respiratory organs. Cough, flue and fever are among the common signs of the virus

UPDATES:
In about 5 weeks
Affected: More than 4500
Death: More than 106 death,
Cured: 1

 
na sisi tuna air Tanzania na watanzania wengi tu China serikali kwanini isifabye juhudi za kuokoa ndugu zetu huko mpaka sasa sijasikia tamko lolote toka wizara ya mambo ya nje ni kama vile hawajui wanataka nini
 
Wachina wajanja sana wanaongeza namba kwa 20 tu kila siku. Ila wagonjwa wana double kila siku

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hali si nzuri!

Kuna ripoti mbalimbali na taarifa za visa vipya zinatolewa kutoka mikoa mbalimbali nchini China jambo litakalopelekea mamia ya visa vipya hapo baadaye ripoti ya kitaifa itakapotoka.

Tuendelee kusubiri.
Vifo lazima vitaongezeka maana kuna watu wanaumwa ila hawajui wanaumwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Taiwan imedhibitisha visa vingine viwili (2) vya 'Coronavirus'.

====

UPDATE: Taiwan confirms 2 more cases of coronavirus

Taiwan Centers for Disease Control (CECC) has confirmed two more cases of coronavirus in Taiwan, CECC announced in a statement today. [CNN]
 
Hii leo, Mataifa ya Ujerumani, Japan pamoja na Taiwan yamethibitisha visa vya kwanza vya virusi vya Corona kwa watu ambao hawakuwahi kwenda nchini China kabisa.
 
Kampuni kubwa za Kimarekani kama vile Dell na Microsoft zimejitokeza kutoa michango na misaada ikiwemo ya kifedha ili kuweza kusaidia kukabiliana na janga hili.

====

UPDATE: Big US companies are stepping in to help after Beijing encouraged assistance from corporate America to help it cope with the coronavirus crisis.

Microsoft, Dell make donations to fight China coronavirus outbreak. The companies have pledged millions to support relief efforts for deadly epidemic. [Financial Times]
 
Wamarekani wanapenda sana saidia wenzao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo awali hii leo, nchini Kenya iliripotiwa uwepo wa mtu mmoja mwenye dalili zinazoashiria maambukizi ya virusi vya Corona aliyewasili nchini humo akitokea nchini China kisha kupelekwa katika Hospitali ya Kenyatta (KNH) kwa uchunguzi zaidi.

A Passenger aboard a Kenya Airways plane from Guangzhou, China to Nairobi suspected to be infected with Novel Corona Virus has been quarantined at the Kenyatta National Hospital awaiting further screening according to a statement from Kenya Airways.


Kisha, Wizara ya Afya nchini Kenya ikazungumzia kuhusu mtu huyo kuwa hakuna mabadiliko yoyote katika viungo na mifumo ya utendaji kazi katika mwili wake vikiwa katika viwango vya kawaida kwa mujibu wa vipimo vya kitabibu vilivyofanyika.

 
MPYA: Ufaransa imethibitisha kisa cha nne (4) cha virusi vya Corona nchini humo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…