Fiziolojia
JF-Expert Member
- Oct 19, 2019
- 815
- 1,080
Yeah, mostly ni kwa hewa lakini pia hata through contact.Huu ugomjwa INA maana unaambukizwa kwa hewa !? Maana umekuja kwa kasi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeah, mostly ni kwa hewa lakini pia hata through contact.Huu ugomjwa INA maana unaambukizwa kwa hewa !? Maana umekuja kwa kasi.
MUNGU tulinde na hili janga
Na bora hivi virusi vinajitokeza kwa watu wanaojitambua.
Najaribu kufikiri ingekuwa Tanzania sijui magufuli angeanza kushika wapi?
Kwa akili zake angemtumbua waziri wa Afya!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndiyo!Huu ugomjwa INA maana unaambukizwa kwa hewa !? Maana umekuja kwa kasi.
Shukrani mkuuBado hakujawa na taarifa rasmi.
Mara ya mwisho walikuwa wakimfanyia vipimo mtu mmoja anayehisiwa kuwa na maambukizi lakini mpaka sasa majibu ya vipimo hayajawekwa wazi.
Naendelea kufuatilia kuhusu hilo.
Hapa ndo tatizo lilipo. Huu ugonjwa mtu anatakiwa aachiwe huru baada ya 14 days quarantined.....Ethiopia: Maafisa wa afya nchini humo wanasema kuwa sampuli ya damu imetolewa kwa watu wanne (4) wanaoshukiwa kuwa na virusi vya Corona na sampuli inatarajiwa kupelekwa Afrika Kusini kwa ajili ya uchunguzi zaidi.