Vampire hawajawai kuwepo ila kuna jamii zinatumia damu ya watu kama kilevi chao.
But alliens wapo na si story.kuna ushahidi hadi wa CCTV Camera tafuta U tube utawaona Mr
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanaopona ni wengi.
BREAKING: Wizara ya afya ya China imeripoti visa vipya 508 pamoja na vifo vipya 71 nchini humo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] we jamaa una mambo ya kitoto sana
Et vampire waliwahi kuwepo
Wacha watoto wa miaka 10 wazanie hivi ila sio wewe mtu mzima
Sent using Jamii Forums mobile app
Na kitu cha ajabu ni kwamba Virusi vya Ebola na Korona kwenye microscope vimeonekana lkn virusi vya UKIMWI hakuna hata mmoja aliyebahatika kuona huyo kirusiWanaopona ni wengi.
Virusi hivi huwa na pande mbili:
A) virusi vyenyewe huuambukiza vibaya sehemu ndogo tu ya watu walioambukizwa. Hadi sasa inaonekana ni asilimia 2-3 waliokufa kati ya hao walioambukizwa, hasa watu wenye kinga dhaifu (kama wazee, watu waliogonjeka tayari). Walio wengi huwa na dalili nyepesi tu (kama mafuamafua kidogo), wengine hawaonyeshi dalili zozote.
B) Tabia hii ni hatari kwa sababu virusi hivi inaweza kuenea mbali sana kushinda vingine. Ingawa huua asilimia 2-3 pekee (linganisha Ebola: inaua % 60-70) watu wenye virusi wasio na dalili wanaweza kuwaambukiza wengine na hapa tunaona uenezaji mkubwa sana. Maana kwa takwimu hii, kama milioni 1 wameambukizwa, tunaweza kukadiria 20,000 - 30,000 watakaokufa. (asilimia 1 ya milioni ni 10 elfu).
Mfano wa kinyume ugonjwa wa Ebola: Imeanza pale Kongo. Kwa nii haikuenea zaidi? Kwa sababu ni ugonjwa mkali, dalili zinatokea haraka, inaua 2/3 za wagonjwa - ugonjwa kama huu hauendi mbali kwa sababu walioambukizwa wanaonekana mapema, au wanakufa haraka, tofauti na Korona ambako idadi kubwa ama hawana dalili za ugonjwa (lakini wanaambukiza) au dalili chache tu (wanaikiri et mfua kidogo, naendelea kufanya kazi).
Maana yake si kweli. angalia hapaNa kitu cha ajabu ni kwamba Virusi vya Ebola na Korona kwenye microscope vimeonekana lkn virusi vya UKIMWI hakuna hata mmoja aliyebahatika kuona huyo kirusi
Hii nini maana yake?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mzee baba ni kweri hii au propaganda za mtandaoni yaan ndani ya wiki 1 tu wawe wamevumbua dawa wkt WHO jopo zima la madocta bingwa walokutana huko china tangu mwezi january mpk sasa tunaenda Apr kimya hata dawa ya kuleta nafuu hawajapataIran wamegundua dawa na taari kuna mgonjwa mmoja ametibiwa amepona, hio pic apo wanashereheka kwa kufanikiwa kupona mgonjwa kwa hio dawaView attachment 1368922
Sent using Jamii Forums mobile app
MUUMBA Ajaalie Ikuwe Kweli AseeIran wamegundua dawa na taari kuna mgonjwa mmoja ametibiwa amepona, hio pic apo wanashereheka kwa kufanikiwa kupona mgonjwa kwa hio dawaView attachment 1368922
Sent using Jamii Forums mobile app
Wacha tungojee zaidi ukweli zaidi utajulikanika zaidi japo naamini kwa asilimia 30 nikweliMzee baba ni kweri hii au propaganda za mtandaoni yaan ndani ya wiki 1 tu wawe wamevumbua dawa wkt WHO jopo zima la madocta bingwa walokutana huko china tangu mwezi january mpk sasa tunaenda Apr kimya hata dawa ya kuleta nafuu hawajapata
Sent using Jamii Forums mobile app
Duniani hakukosekani suluhisho la matatizo, hiyo njia yao hao Wairan inaweza ikawa ni suluhisho kamili, shida western hawataki kuonekana kushindwaMzee baba ni kweri hii au propaganda za mtandaoni yaan ndani ya wiki 1 tu wawe wamevumbua dawa wkt WHO jopo zima la madocta bingwa walokutana huko china tangu mwezi january mpk sasa tunaenda Apr kimya hata dawa ya kuleta nafuu hawajapata
Sent using Jamii Forums mobile app
Swali zuri sana...virusi vya UKIMWI hakuna hata mmoja aliyebahatika kuona huyo kirusi
Hii nini maana yake?
Mzee baba ni kweri hii au propaganda za mtandaoni yaan ndani ya wiki 1 tu wawe wamevumbua dawa wkt WHO jopo zima la madocta bingwa walokutana huko china tangu mwezi january mpk sasa tunaenda Apr kimya hata dawa ya kuleta nafuu hawajapata
Sent using Jamii Forums mobile app
yaan kwakweli huwezi zidi furaha yanguMUUMBA Ajaalie Ikuwe Kweli Asee
Nitakua Kiumbe Mmoja Mwenye Furaha Mno ikiwa Watafanikiwa Kwahili Jambo Kwa 100%
Sent using Jamii Forums mobile app