Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mudaa muafakaa SASA kushauriana UKWELI mnaombwaa mfwatee sana yalee mashartii ya SERKL kujilinda kuwa safii MDA wote
naweni mikonotu halii n MBAYA
siombei mabaya ni vyema tukawapa angalizoo hii corona sio ya kuisha June wala jul...hizi tar unazooona kila nchi wanafikiria kurudi normal ni mafikirio tu
Wakati muafakasasa tukijilinda tujiweke mahsusi mnapoona may NIMEINGIA usishangae June tumekomaa na MASHARRTI yaleyale to July
watumishi WENGI WA MUNGU WANAJUA HILI TUNAOMBA MWOOMBEE SANA NCHI OMBEEN TOBA KWA AKILI YA NCHI
MMAREKANI HUU UGONJWA UMEENDA KUPIGA JIMBO MUHIMU LA KIFEDHA NA KIUCHUMI NA WANAKUFA KAMA MAWE
KILA MMOJA AOMBE SABABU N MOJA TU..HUU UGONJWA HATA UKAJIFICHE MARANGU UTAKUFWATA TU N WEWE WASASA UJILINDE UTOE UAMUZI WAKULINDA WATOTO WAKO NA WATANZANIA WENGINE
Eeeeew
MUNGU TUSAIDIE
Mtu mwenyewe anawaamini wazee wa vitisho, wazee wa kutubu na kuomba huku wamekodolea sadaka! watumishi wa mungu!Watanzania tumezidi kutishana sana
Kamaa nakutishaa July TUKUTANE HAPANA uone kama hukokazini mtarudi mnavyopangaaMtu mwenyewe anawaamini wazee wa vitisho, wazee wa kutubu na kuomba huku wamekodolea sadaka! watumishi wa mungu!
Na idadi ya vifo angalia inavyokimbia kwa kasi.Kumbuka kuwa US amepima watu wengi zaidi
hawa jamaa wanajuaje huku sisi hatujuiNimeona mahala UN wanasema wiki Tatu zijazo Africa ndio itaona rangi halisi ya Corona,itakiwa catastrophes ya historia. Mungu atuepushie mbali.
Sent using Jamii Forums mobile app