ILAN RAMON
JF-Expert Member
- Sep 10, 2013
- 9,698
- 4,488
Nenda bukoba kuna maji ya kutoshamie naangalia utamu tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nenda bukoba kuna maji ya kutoshamie naangalia utamu tu
nimepaelewa milimani tuNenda bukoba kuna maji ya kutosha
Ndio biashara yako?Umalaya hujazungumzia
Akili ya kuambiwa changanya na yakoNiliambiwa nisioe mpare.
I didn't know the reason.
Labda ndugu yangu ERoni anifafanulie wapare mnanini?
Hujakutana na wabenaWATU bahiri zaidi ulimwenguni (Duniani)na ukanda mzima wa Africa ya mashariki na maziwa makuu☺️☺️😊😊
Cc.kuna bwana mdogo mmoja sikuwai kula pesa yake period!!🤣🤣🤣🤣😂😂
Kuna kabila gani huchapiwi?T
Thubutu utachapiwa mpaka uone cha mtema kuni
Hawezi kuwa ngosha maana hawezi kuhonga 🤣Sasa nimeenda kumtembelea mtu handsome kama Robert Heriel Mtibeli nikakuta friji limejaa vikontena vya makande Sasa si Bora tumbadili kabila awe Ngosha🏃🏃🏃🏃🏃🏃