Fahamu kiundani kabila la Wapare na Wanawake wa kipare

WATU bahiri zaidi ulimwenguni (Duniani)na ukanda mzima wa Africa ya mashariki na maziwa makuu☺️☺️😊😊

Cc.kuna bwana mdogo mmoja sikuwai kula pesa yake period!!🤣🤣🤣🤣😂😂
Hujakutana na wabena
 
Nilicho notice kwa baadhi ya watanzania (wajinga) akiwahi kutoswa na dem au aliwahi gombana na mtu basi ataanza kutukana kabila zima utadhan alichunwa na kabila lote. Vijana badilikeni
 
Hizi kutaja kabila fulani Kuwa eti ni malaya sidhani kama **** kabila linabakizwa.Mimi nilikua na Girlfriend wa Iringa Mhehe,sikunimemfumania watu wakaniambia "ndio walivyo hao".
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…