ILAN RAMON
JF-Expert Member
- Sep 10, 2013
- 9,698
- 4,488
Nenda bukoba kuna maji ya kutoshamie naangalia utamu tu
nimepaelewa milimani tuNenda bukoba kuna maji ya kutosha
Ndio biashara yako?Umalaya hujazungumzia
Akili ya kuambiwa changanya na yakoNiliambiwa nisioe mpare.
I didn't know the reason.
Labda ndugu yangu ERoni anifafanulie wapare mnanini?
Hujakutana na wabenaWATU bahiri zaidi ulimwenguni (Duniani)na ukanda mzima wa Africa ya mashariki na maziwa makuu☺️☺️😊😊
Cc.kuna bwana mdogo mmoja sikuwai kula pesa yake period!!🤣🤣🤣🤣😂😂
Kuna kabila gani huchapiwi?T
Thubutu utachapiwa mpaka uone cha mtema kuni
Hawezi kuwa ngosha maana hawezi kuhonga 🤣Sasa nimeenda kumtembelea mtu handsome kama Robert Heriel Mtibeli nikakuta friji limejaa vikontena vya makande Sasa si Bora tumbadili kabila awe Ngosha🏃🏃🏃🏃🏃🏃