Fahamu kuhusu betri zinazowekwa kwenye moyo ili kuwasaidia wenye matatizo ya moyo kusukuma damu mwilini

Fahamu kuhusu betri zinazowekwa kwenye moyo ili kuwasaidia wenye matatizo ya moyo kusukuma damu mwilini

Come on! Hivi unajua unasema nini au unabwabwaja! Au wewe bado kinda hukumjua amini wakati anaitawala Uganda ! Huwezi kulinganisha JPM na Amini ni ukosefu wa kinga za akili
Tuanzie hapa kwahyo jpm nayeye ana sonona kumbe ndo maana anatupelekesha maana anajua soon anakata kamba

Sent using Jamii Forums mobile app
 
You are stupid! unadhani wewe hatukujui? Kuna siku utawekwa kitimoto! Utataja kwa ulimi wako uliowaua na kuwapoteza! Mnajulikana sana , the other side is just waiting for the time to click/tick!
Matusi kwangu nayaona ni utoto tu. Sijui Kwanini mtu unakuwa na chuki kiasi hicho kwa mtu anayejitahidi kuleta maendeleo ya nchi. Mind you Rais akiwa madarakani lazima aheahimiwe! Tabia yenu inakera
 
Hujatuelezea vizur inafanyaje kaz ume base kwenye watu waliowekewa me hao sijui hata mmoja....maelezo ya muhimu ni namna inafanya kazi betr ka betr inaweza je sukuma moyo ...teknolojia behind na vp hiyo battery inachajiwa je huwa inaisha? Hizo ndo vitu vya muhimu tulipaswa jua
 
Mwisho wa siku mwenye kutupa uhai anabi kuwa Mungu pekee.

Unaweza kuwekewa kila aina ya mashine damu ikasukumwa lakini uhai ukishachukuliwa ndio mwisho wa habari.
 
Back
Top Bottom