wamaukweli
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 1,084
- 1,277
Tena upate na kiburudisho baridiiiHiv kuna uhusiano wowote kati ya kuangalia movie na kula popcorn??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tena upate na kiburudisho baridiiiHiv kuna uhusiano wowote kati ya kuangalia movie na kula popcorn??
ubuyu tena mkuu? Inabidi niwatafute shilawaduKachunguze na ubuyu mkuu uniletee mrejesho
Uzuri pia Tanzania yetu siku hizi muvi kila siku, ya Dr shika ndo inakaribia kuisha, itaibuka nyingine sasa hivi..Tena wakat wa kuangalia movie kwa wakubwa nzuriii
Bado mauzo si constant...
Huwa nacheka sana na hizo hesabu za sijui sh ngal mara siku 30 mara 365...
Mi mwenyewe ninayo hiyo mashine dukani, hesabu sio nyepesi hivyo!!
285000 bila kuletewa uje mwenyewe
200000 nikupatie295,000/ only brand new unapata na warranty.
If interested 0715677739 contact me.
295,000/ ni fixed boss200000 nikupatie
Hapana, ya gas ni 550,000/ inakua Mashine tu bila mtungiVipi kuhusu inayotumia gesi mkuu? Nayo ni bei sawa?
Bei tofauti gas inakua 550,000/ bila mtungi.Vipi kuhusu inayotumia gesi mkuu? Nayo ni bei sawa?
je umefanikiwa? kama bado njoo inboxHusika na mada tajwa hapo juu nimeamua kuanzisha biashara ya popcorn baada ya kuona mahali nilipo hakuna mtu anayejishughurisha na biashara hiyo
Shida yangu kubwa kupata ujuzi jinsi ya kutengeneza popcorn za chocolate
Nawasilisha kwenu mawazo yenu ni muhimu kwangu na nifaida kwa wengine wasiojua
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona mengi tuMahindi maalum ya popcorn utapata wapi?
machine yako ni ya umeme au gas?Habari zenu wapambanaji wenzangu, katika harakati za ujasiriamali nimepata mashine ya kutengenezea bisi ( pop corn) na nahitaji kuitumia katika kujiongezea kipato, Je msaada kwa wazoefu wa biashara hii, nitafute Mtu nimkodishe aniletee hesabu kwa week au nitafute kijana nimuajiri. IPI inalipa zaidi, maana mwnyew Niko busy na ujasiriamali mwingine . shukrani wakuu
anafukua makaburiMkuu vipi unafufua viporo! sikuifanya na nilishaisahau kabisa. vipi unataka kuifanya? fata ushauri wa voice of reason hapo chini utakusaidia