Unafungua Biashara wewe hata kusimamia mwezi haupo, unatkiwa mwanzo wa biashara uwepo ndo unamkabidhi mtu ili ujue muenendo mzima wa biashara, hivi unajua hata kilo moja wali unatoka sahani ngapi? ratio ya kg za nyama na wali? mimi naona biashara hii fungua ukiwepo ukishajua ndo umkabidhi huyo dada, la sivyo million inateketea au omba mtu awepo hapo badala yako.
O
Ok Huyo Dada namwamini coz anajua kuliko hata mimi
Okay huo ni ukweli mchungu, na wengi hatutaki kuhusikia.. biashara ambayo wewe haupo invest kwenye technology uone kila kitu, hata kwa CCTV, waajiri sio wajinga kutusimamia hata maofisini sababu wanaujua huu ukweli.
Muda utaongea tu.. uje utupe mrejesho
Itakushinda kama utaanza hiv dada angu,nikwambie ukwel tuu...
Sabab management ndo kila kitu,huyo msichana si maono yake hyo biashara so yeye anafanya tuu alipwe..wew ndie mwenye maono kwamba unataka chakula kiwe hiv,quality i mean..usaf,hospitality,uwepo uvumiliv,acountability etc .so huyo dada hatowez,
Atauza wik 1 ataona hamna wateja atavunjika moyo ataanza lipua kaz na ndo mwanzo wa kuharibika..sabab trend ya biashara yoyote.enewea,graph huanza kidogo then hushuka kwa kas ya ajab,badaee ndo huanza kupanda,je huyo unaemwachia ataweza haya yote
Sent using Jamii Forums mobile app
Itakushinda kama utaanza hiv dada angu,nikwambie ukwel tuu...
Sabab management ndo kila kitu,huyo msichana si maono yake hyo biashara so yeye anafanya tuu alipwe..wew ndie mwenye maono kwamba unataka chakula kiwe hiv,quality i mean..usaf,hospitality,uwepo uvumiliv,acountability etc .so huyo dada hatowez,
Atauza wik 1 ataona hamna wateja atavunjika moyo ataanza lipua kaz na ndo mwanzo wa kuharibika..sabab trend ya biashara yoyote.enewea,graph huanza kidogo then hushuka kwa kas ya ajab,badaee ndo huanza kupanda,je huyo unaemwachia ataweza haya yote
Sent using Jamii Forums mobile app
Eti nahis kama umemuamini sana...nahis harufu ya kufeli mapema..!sijui lakin
Kama ni hivi, inakupasa uwe makini sana. Tena ingekuwa ni vema kama ukaanza kwa kukaa mwenyewe, ili ufahamu biashara yako ina mzungo wa kiasi gani minimum and maximum. Then ndio umuachie mtu...ila pia kwa kuanza kukaa mwenyewe kungekusaidia kufahamu madhaifu ya biashara yako, kutokana na complements za wateja wako....kwanzia hapo ungekuwa na room kubwa ya develop mfumo mzuri wa uendeshaji wa biashara yako.
Note:
Biashara ni mwanzo. Ukianza vibaya, ni ngumu sana huko mbele kukaa vizuri....maana utakuwa ushakimbiza wateja.
Sent using Jamii Forums mobile app
Pia,umejiandaaje kuhusu viporo vinavyobaki?Hakuna mteja anayependa kupata supu ya jana,maandazi,chapati au chakula cha jana ingawa ni hasara;lazima uwalishe wateja wako vitu fresh ili waendelee kukuunga mkono.
Sijaelewa, huyo dada ndie atakua anafata vitu sokoni, anapika na kuhudumia akiwa peke yake au una wafanyakazi wengine ila yeye unamfanya kama msimamizi wako?
Ooh ni mama ntilie hapo sawa.Atafanya vyote atatafuta wa kumsaidia sanasana labda wa kumsaidia kusave
Hii biz ipo hivi inataka commitment! uwepo mwenyewe ila ukiajili watu and ur not around my dear bora ukabet tu!
Chakula kina hesabu kila kilo moja inatoa sahan kadhaa Sasa Kama unapika kilo zako u hv to make sure Imepatikana sahani zenye ratio na maandalizi yako! Kama unaajiri mtu Bora usifunge tuuu!
Hatukuvunji moyo me am in that biznes ktk cafe pia nasuply yaan no easy way u hv to be there!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ooh ni mama ntilie hapo sawa.
Mbona kama unajibu watu kwa hasira? au sio wewe uliyeomba ushauri?Sasa asiejua hesabu la sahani ni nani? A very light point. Usijali sivunjiki moyo kirahisi mpaka sasa sijaona point ya kunivunja moyo
Nilijua mgahawa mkubwa.Ulijua biashara gani?
Kasema huyo dada anajua yeye atamsimamia swali atamsimamiaje na yeye yuko kazini? mama ntilie tena mpya raha uwepo mwenyewe au da rebecca unaonaje?mimi naona kodi ya miezi 3 ikiisha wanafunga biashara hawa.
Jaribu kuchukua ata likizo ya mwezi mmoja ndo uanze biashara ukiwepo ili kuhakikisha kila utakachomwelekeza ata kifanyia kazi kwa mfano usafi ,chakula kizuri kiwe full package,namna ya kuhudumia wateja,muda wa kufungua n.kNtamwachia ntapitia hesabu coz mda mwingi ntakua kibaruani
Hapo pagumu, labda uwe unapika kufuatana na muonekano wa soko kwa siku husika, huku ukitumia gas, mbali na kuwa na friji au freezer.Hapo ndo unipe mawazo
Kuwa makini sana utawajua binadamu vizuri,ungeweza kusimamia ata mwezi mmoja afu ungejua mapato ya siku basi ungekubaliana nae awe ana kupa kiasi fulani kwa siku nae anachukua chake kabisaO
Ok Huyo Dada namwamini coz anajua kuliko hata mimi