Fahamu kuhusu biashara ya kuuza chakula (Mgahawa)

Fahamu kuhusu biashara ya kuuza chakula (Mgahawa)

Hii biz ipo hivi inataka commitment! uwepo mwenyewe ila ukiajili watu and ur not around my dear bora ukabet tu!
chakula kina hesabu kila kilo moja inatoa sahan kadhaa Sasa Kama unapika kilo zako u hv to make sure Imepatikana sahani zenye ratio na maandalizi yako! Kama unaajiri mtu Bora usifunge tuuu!

Hatukuvunji moyo me am in that biznes ktk cafe pia nasuply yaan no easy way u hv to be there!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unafungua Biashara wewe hata kusimamia mwezi haupo, unatkiwa mwanzo wa biashara uwepo ndo unamkabidhi mtu ili ujue muenendo mzima wa biashara, hivi unajua hata kilo moja wali unatoka sahani ngapi? ratio ya kg za nyama na wali? mimi naona biashara hii fungua ukiwepo ukishajua ndo umkabidhi huyo dada, la sivyo million inateketea au omba mtu awepo hapo badala yako.


Naunga mkono hojA
 
Okay huo ni ukweli mchungu, na wengi hatutaki kuhusikia.. biashara ambayo wewe haupo invest kwenye technology uone kila kitu, hata kwa CCTV, waajiri sio wajinga kutusimamia hata maofisini sababu wanaujua huu ukweli.

Muda utaongea tu.. uje utupe mrejesho

Ila kumbuka tungekua wote wezi mbingu ingekua tupu mkuu ila amini hvyo hvyo mkuu uwachunge wafanyakazi wako uone kama watakaa, mwizi anajulikana kama huwezi kuwagundua mimi nawagundua na niko maakini kupita maelezo na sijawahi danganyika namshukuru Mungu kwa hilo. Halafu hapa tunaongelea fremu moja huwezi linganisha na CCTV camera cjui huko mbali.
 
Itakushinda kama utaanza hiv dada angu,nikwambie ukwel tuu...

Sabab management ndo kila kitu,huyo msichana si maono yake hyo biashara so yeye anafanya tuu alipwe..wew ndie mwenye maono kwamba unataka chakula kiwe hiv,quality i mean..usaf,hospitality,uwepo uvumiliv,acountability etc .so huyo dada hatowez,

Atauza wik 1 ataona hamna wateja atavunjika moyo ataanza lipua kaz na ndo mwanzo wa kuharibika..sabab trend ya biashara yoyote.enewea,graph huanza kidogo then hushuka kwa kas ya ajab,badaee ndo huanza kupanda,je huyo unaemwachia ataweza haya yote

Sent using Jamii Forums mobile app

Ni bora yeye awepo Mimi nisiwepo kuliko Mimi niwepo yeye asiwepo coz ana ujuzi na hyo biashara
 
Itakushinda kama utaanza hiv dada angu,nikwambie ukwel tuu...

Sabab management ndo kila kitu,huyo msichana si maono yake hyo biashara so yeye anafanya tuu alipwe..wew ndie mwenye maono kwamba unataka chakula kiwe hiv,quality i mean..usaf,hospitality,uwepo uvumiliv,acountability etc .so huyo dada hatowez,

Atauza wik 1 ataona hamna wateja atavunjika moyo ataanza lipua kaz na ndo mwanzo wa kuharibika..sabab trend ya biashara yoyote.enewea,graph huanza kidogo then hushuka kwa kas ya ajab,badaee ndo huanza kupanda,je huyo unaemwachia ataweza haya yote

Sent using Jamii Forums mobile app

Hapo ndo umeongea khs graph bt swala la wizi kama wanavyosema wengine weka kando, nashukuru ntamuelimisha khs hilo la graph
 
Kama ni hivi, inakupasa uwe makini sana. Tena ingekuwa ni vema kama ukaanza kwa kukaa mwenyewe, ili ufahamu biashara yako ina mzungo wa kiasi gani minimum and maximum. Then ndio umuachie mtu...ila pia kwa kuanza kukaa mwenyewe kungekusaidia kufahamu madhaifu ya biashara yako, kutokana na complements za wateja wako....kwanzia hapo ungekuwa na room kubwa ya develop mfumo mzuri wa uendeshaji wa biashara yako.

Note:
Biashara ni mwanzo. Ukianza vibaya, ni ngumu sana huko mbele kukaa vizuri....maana utakuwa ushakimbiza wateja.

Sent using Jamii Forums mobile app

Haimaanishi sitapatembelea kabisa ntakua naenda weekend tena jumamosi tu inatosha kbs comments nyingine atapokea yeye
 
Sijaelewa, huyo dada ndie atakua anafata vitu sokoni, anapika na kuhudumia akiwa peke yake au una wafanyakazi wengine ila yeye unamfanya kama msimamizi wako?
 
Pia,umejiandaaje kuhusu viporo vinavyobaki?Hakuna mteja anayependa kupata supu ya jana,maandazi,chapati au chakula cha jana ingawa ni hasara;lazima uwalishe wateja wako vitu fresh ili waendelee kukuunga mkono.

Hapo ndo unipe mawazo
 
Hii biz ipo hivi inataka commitment! uwepo mwenyewe ila ukiajili watu and ur not around my dear bora ukabet tu!

Chakula kina hesabu kila kilo moja inatoa sahan kadhaa Sasa Kama unapika kilo zako u hv to make sure Imepatikana sahani zenye ratio na maandalizi yako! Kama unaajiri mtu Bora usifunge tuuu!

Hatukuvunji moyo me am in that biznes ktk cafe pia nasuply yaan no easy way u hv to be there!

Sent using Jamii Forums mobile app

Sasa asiejua hesabu la sahani ni nani? A very light point. Usijali sivunjiki moyo kirahisi mpaka sasa sijaona point ya kunivunja moyo.
 
Aisee, biashara nzuri ukiifanya mwenyewe ujionee changamoto zake na namna ya kuzitatua, kwa ninavyoona umejipanga kurudi jioni na kukusanya mapato huku ukiwapangia cha kufanya jiandae kupoteza hiyo milioni yako.

Nakupa mfano miaka mi 4 iliyopita nilifanya hiki unachokifanya tena kwa ukubwa haswa nikitafuta wamama wapishi wazuri (akiwemo shangazi yangu), nikafungua cafeteria chuo kimoja kipo hapo mbezi jogoo, nilitengeneza mfumo mzuri wa uendeshaji huku nikiwuweka shangazi yangu kama manager, mimi mara moja moja mwisho wa wiki ndio ninaenda, kukagua na kuchukua mapato kutenga budget ya wiki i ayofuatia n.k

Walichonifanya baada ya kuona kuwa ninakuj kuchukua hela tuu na kuwapangia cha kufanya wakataka nyongeza ya mshahara, nikawapa. Hawakuridhika nilikuwa nimepanga wafanyakazi kila mtu kitengo chake kuna mtu wa kuosha vyombo, wa juice, chips, chai na vitafunwa na wa bites, kila mmoja kwa kitengo chake wakaanza kunipiga taratibu mfano mtu wa bites (karanga, ubuyu n.k)anatengeneza wa kwake anauza ukiisha ndio anauza vyangu.

Mapato yakaanza kuporomoka, nikachukua likizo, na kwenda kusimamia mwenyewe waliacha kazi watatu wenyewe na wengine nilifukuza taratibu akiwemo shangazi yangu ambaye nilimtimua mpaka leo hatuongei.

Kuwa makini, usije ukawa umempa mtu mtaji afanye yake.
 
Kasema huyo dada anajua yeye atamsimamia swali atamsimamiaje na yeye yuko kazini? mama ntilie tena mpya raha uwepo mwenyewe au da rebecca unaonaje?mimi naona kodi ya miezi 3 ikiisha wanafunga biashara hawa.

Mie naona angeomba likizo isiyo na malipo kazini,kisha ufungue biashara yake yeye na huyo dada,biashara ya mama tilie ni nzuri sana ila ukikosea mwanzo wateja hawaji ng'oo lol, akianza vizuri mwanzo basi tayari
 
Ntamwachia ntapitia hesabu coz mda mwingi ntakua kibaruani
Jaribu kuchukua ata likizo ya mwezi mmoja ndo uanze biashara ukiwepo ili kuhakikisha kila utakachomwelekeza ata kifanyia kazi kwa mfano usafi ,chakula kizuri kiwe full package,namna ya kuhudumia wateja,muda wa kufungua n.k
Usipende kuwaamini sana watu kwenye kuanzisha kitu kwa pesa yako ukiamini atasimamia vizuri kumbuka malengo yatatofautiana utaishia kupoteza pesa na mtu hawezi kujitoa kama utakavyofanya wewe mwenye pesa..
 
Back
Top Bottom