Fahamu kuhusu biashara ya kuuza chakula (Mgahawa)

Aiseee niliwahi print t-shirt kwako.

Mkuu hiyo mashine ya kuprint inauzwaje?

I'm the girl from nowhere, he one no one will miss. That's why they choose me.[emoji97]
 
Kufeli kupo iwapo ataondoka
Kwa iyo unaamini bila yeye hauwezi fika popote?

Watu wengi humu wamekupa ushauri mzuri sana na wengi wanaonekana wanaongea kupitia experience.

Wengi hatujui MTU unaeenda kumuachia biashara yako anauzoefu gani wa kuendesha hiyo biashara.

Kujua kupika au kuwa mpishi mzuri na kuendesha biashara ya mgahawa ni vitu viwili tofauti.

Kwa biashara ya chakula hiyo formula unayotaka kutumia inafanya kazi ukiwa mzoefu wa iyo biashara lakini kama ni mgeni kuna mianya mingi sana ya pesa kupotea.

Trust but verify.
 

Mkuu Napoleone umeonge points za maana sana
 
Mkuu kwani Ngosha hawalagi ubeche?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ntamwachia ntapitia hesabu coz mda mwingi ntakua kibaruani
Nashauri itakuwa vzur uptie faida ya sku yaani baada ya yeye kuuza na kununua tena bidhaa ulizoaanza nazo kipi kinasalia? yaan mkabidhi / wakabithi wakulipe kias kadhaa kwa sku, ambacho kitalipa tena kodi na gharama nyingne na faida ya uwekezaji wako kila la kheri.
 
Cataliyya omba ruhusa ya wiki moja kibaruani kwako usimamie kwanza
Ni kweli itazame biashara mwanzoni (mwanzo mgumu) mzunguko halisi, pia baada ya muda flani kuona unachopata ni stahiki? pia inatakiwa uridhie tu kiwe wastani sio kila sku faida itakuwa hyo hyo
 
Mpendwa,

Mengi yamenenwa na wadau, nawapa big up wadau.

Jambo muhimu ni kwamba hilo wazo ni nzuri tena sana, kwasababu kubwa 2

Moja - biashara ha chakula haina hasara kwasababu watu lazima wale. Lkn pia hali ya maisha asilimia kubwa ya watu wamepunguza bajeti zao sasa hivyo badala ya kula mahoteli makubwa ama manyama choma, mamantilke wamepata wateja sana.

Mbili, kudhubutu. Hakuna atakae fanikiwa bila kudhubutu na kuanguka ndio mwanzo wa kufanikiwa. Wanasema hjashindwa hujafanikiwa.

Kwa msaada zaidi, sio kwako tu bali wadau wengine patahuduma zetu ambazo ziifanikisha zaidi ndoto zako

HUENDA WAHITAJI:

* Kusajili kampuni
* Annual Retur - Brela
* Hesabu za Kodi, Hesabu za Kampuni,
* Kuandaa Memorandum....
* Kuandika Business Plan, Business Profile,
* Kuandaa Tender documents, CRB
* Kutengeneza LOGO, Business Cards, Brochures, Banners
* Printing - All types of Books
* Digital Printing: T-SHIRTS, CAPS, BAGS, PLATES, CUPS, etc.

TUPIGIE/ MESEJI - 0684 205039: WATSUP TU 0652 411402
BEI ZETU HAZINA USHINDANI, MIKOANI PIA TUNAHUDUMIA

Ushauri ni bure


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Hukupata watu sahihi na hukuwasoma kwanza utendaji wao wa kazi ulikurupuka ilibidi uwasome kwanza, yeye kua shangazi yako haimaanishi sio mwizi ilibidi umsome kwanza
Hongera kama inaendelea vizuri
 

Hukupata watu sahihi na hukuwasoma kwanza utendaji wao wa kazi ulikurupuka ilibidi uwasome kwanza, yeye kua shangazi yako haimaanishi sio mwizi ilibidi umsome kwanza.

Hongera kama inaendelea vizuri.
 
Wabongo tuna upuuzi wa kujifanya mabosi kipindi tunafungua biashara. Kama wafungua biashara, kaa mwenyew maana jua kuwa hapo umewekeza hela na co mawe. Kama una kibarua kwakweli tulia kwanza, ila kama waipenda hyo biashara, anza kwa kukaa wew mwenyewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Sawa ntazingatia kama ntakachomwambia atakifuata.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…