Mpendwa,
Mengi yamenenwa na wadau, nawapa big up wadau.
Jambo muhimu ni kwamba hilo wazo ni nzuri tena sana, kwasababu kubwa 2
Moja - biashara ha chakula haina hasara kwasababu watu lazima wale. Lkn pia hali ya maisha asilimia kubwa ya watu wamepunguza bajeti zao sasa hivyo badala ya kula mahoteli makubwa ama manyama choma, mamantilke wamepata wateja sana.
Mbili, kudhubutu. Hakuna atakae fanikiwa bila kudhubutu na kuanguka ndio mwanzo wa kufanikiwa. Wanasema hjashindwa hujafanikiwa.
Kwa msaada zaidi, sio kwako tu bali wadau wengine patahuduma zetu ambazo ziifanikisha zaidi ndoto zako
HUENDA WAHITAJI...
* Kusajili kampuni
* Annual Retur - Brela
* Hesabu za Kodi, Hesabu za Kampuni,
*Kuandaa Memorandum....
* Kuandika Business Plan, Business Profile,
* Kuandaa Tender documents, CRB
*Kutengeneza LOGO, Business Cards, Brochures, Banners
* Printing - All types of Books
*Digital Printing: T-SHIRTS, CAPS, BAGS, PLATES, CUPS, etc.
TUPIGIE/ MESEJI - 0684 205039: WATSUP TU 0652 411402
BEI ZETU HAZINA USHINDANI, MIKOANI PIA TUNAHUDUMIA
Ushauri ni Bure...
Sent using
Jamii Forums mobile app