Fahamu kuhusu " Deep State " ilivyo na inavyofanya kazi

Yaani wewe kweli Zembwela, kwa mara nyingine umemvua nguo baba yako, jinsi alivyotupa ada yake bure kusomesha ngumbaru kama wewe.

Baba yako aliuza ng'ombe ili asomeshe ng'ombe mwingine.

Aliyekuleta duniani kwa kuchanua matairi nyuzi360 alipata kukuweka tumboni kwa tamaa ya kupewa nokia torch na yule domo zege bingwa na mwenyekiti mtendaji wa chaputa.... aliyetolewa mikunjo kunjo palr kati kalioni na vidore vya aliyekumeza wakati akimpapatikia kwa shangwe za kupewa nokia torch..poor man akatema akatapikwa popoma mmoja anapewa jina forteza naye hapendi kumiliki mikonjo kama baba yake anatamani kumiliki iPhone 6 kama mama ayek alivyotamani nokia torch
 
Kwa iyo kwa wale wanaowazia uraisi eg (Mr II/sugu, nikki wa II, zitto kabwe, maalim sief Hammad, raila odinga na wengine wengi) unawashauri nini?
 
Bado unazidi kujiaibisha hapa mtandaoni. Umewaangusha sana wazazi wako, wamekulea katika maadili ya hovyo sana, ona unavyobwabwaja, kila mtu anajua wewe dish limeyumba.
 
Bado unazidi kujiaibisha hapa mtandaoni. Umewaangusha sana wazazi wako, wamekulea katika maadili ya hovyo sana, ona unavyobwabwaja, kila mtu anajua wewe dish limeyumba.

Kila mtu nani??????? Mimi naongea nawewe kibudu kama lugha chafu umeanzisha wewe alafu unataka huruma ya watu ili iwaje???

Mpumbavu mkubwa wewe
 
Mbona mtoa mada anatukanana inamaana hajui alichowasilisha humu au anasubir akopy muendelezo mwingine????
 
Rudia kusoma comment yangu kwa mara ya pili kisha uielewe nimetumia njeo ipi.

Siku nyingine usipende kukurupuka tu kama unaoga nje.
Sina haja ya kurudia kusoma,Umeelewaka vizuri tu maana hukuandika kihindi hapo,..
"Umesema kuthibitisha uwepo wa deep state,Trump atakuwa rais wa awamu moja tu"
Nimekwambia iyo deep stateya kina Clinton na Obama haiwezi fanya chochote,sababu ni ya kimagumashi tu.The real deep state ndio iliyomuweka Trump pale,na atashinda tena 2020.
Next time tuliza bichwa,usije na mihemko yako kama umelewa chang'aa.
 
Very interesting
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…