Fahamu kuhusu " Deep State " ilivyo na inavyofanya kazi

Fahamu kuhusu " Deep State " ilivyo na inavyofanya kazi

Kiongozi una point ya uwepo wa mungu, hilo wala sibishi. But then the definition of whom, or what posses those godly powers depends on personal beliefs.

That is to say, I have no doubt on spiritual prowess and guidance; believe and you will witness (that depends on personal life challenges and experience).

With my life experience I have no doubt there are spiritual powers protecting me, and I haven’t shown my gratitude enough if I am honest (given the favours I have received).

But then mainly because I am a lazy worshipper (I expect the omnipotent to understand that), nonetheless the times I have dodged enemies bullets at the time of desperate need, my justification it’s only because of god favours (you don’t want to know the stories).

Lakini hata huyo mungu. atakuonyesha yupo tu; sehemu kubwa ya mafanikio yako ni wewe sasa kutumia maarifa ambayo hizo karama kawapa wengine wakufungue. Uwe tayari kukubali somo kutoka kwana kujituma (hakuna mtu anajua kila kitu, lazima kuna mtu atakufunza kitu kwenye maisha).

Sasa basi kwa elimu yangu ya kawaida kabisa kwa huku nilipo, Iła kwa kuelewa jinsi nchi za wenzetu zinavyoendeshwa na aina ya watu wanaoendesha hizo nchi (uwezo wao sio mashaka kabisa) na kuwasikiliza hawa wetu. Tofauti yao ni mbingu na ardhi.

Naweza sema with confidence Tanzania civil aina watu wenye uwezo, wa kuendesha nchi. Kwa sababu luluki.

Mind you can’t just say things which you can’t justify, hawana uwezo wa kudadavua mambo kisomi based evaluation of events theoretically,, analysing the situation and making decisions based on national interest.

Msingi wa uhafifu huo has to be tied na ufaulu mmbovu wa shahada zao, pamoja na kutojiongeza wenyewe kielimu.

It’s easy to tell, usalama wa taifa ni weak. Ukisoma upuuzi wa jukwaa la siasa kama una abc za siasa na uchumi; you can tell nchi itakuwa wapi based na maamuzi yanayofanywa leo. Sio kwa kubahatisha ni kutumia science tu.

kumwamini Mungu ni lazima. kujua tuko duniani kwa mpango wake ni lazima.

Mungu alituumba tumtegemee Yeye kwa asilimia zote. Tulipotaka kujitegemea wenyewe, (pale tulipotaka kujua jema na baya) ndipo lilitokea anguko. Hivyo Mwanadamu anatembea akiwa kwenye anguko.wote tumepungukiwa na utukufu wa Mungu. Hivyo lazima tumhitaji Mungu kwenye kila jambo. Usalama wetu haumo katika wingi wa akili zetu na maarifa tuliyo nayo.

Angalia mazingira ambayo mtu amewekewa ulinzi mkubwa sana lakini anauawa, na yupo ambaye hajawekewa ulinzi wowote (wa kibinadamu) lakini wanaojaribu kumuua wanashindwa. (Tundu' s case)

kaa vizuri na Mungu malaika wa mbinguni wasioonekana kwa macho ya nyama na damu watakuzingira pande zote milele.

Hivi hujawahi kujua Mungu ni Baba yetu atupendaye sana?! kama hujafika viwango vya kujua Mungu wa mbinguni ni Baba, omba neema ya kufikishwa hapo.
 
"Deep State" siyo kamati, siyo tume, siyo kamisheni, siyo timu, siyo kikosi-kazi nk....maana hawakutani pamoja, hawana vikao, hawashauriani, hawana ajenda isipokuwa u-Taifa. Hawa hutoa maoni kwa nyakati tofauti na muhimu kwa mustakabali wa Taifa. Ni watu wanaojulikana kwa nyadhifa walizonazo au walizopata kuhudumu.
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Back
Top Bottom