radicals
JF-Expert Member
- Nov 7, 2016
- 4,411
- 6,473
mwaga ukweli wako hapa, sio huyu kadanganya, tatizo mnafanya biashara hii kwenye poor location
thanks to god the almighty
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mwaga ukweli wako hapa, sio huyu kadanganya, tatizo mnafanya biashara hii kwenye poor location
safi mkuu, mwambie atupe uzoefu wake pia.Kama kadanganya tupe uzoefu wako au ukweli wako
nawe father tupe uzoefu wakoMimi namuangalia jinsi anavyo jikanyaga tu!
Kwanza hii biashara hainaga eti weka kiasi Fulani kwenye till ya mpesa,au weka kiasi Fulani tigopesa na cash uwe nazo kadhaa hamna kitu hicho kwani unaweza ukaenda kazini ukiwa na cash tu na wateja wakatoa ukapata float pia muda mwingine yaweza kuzidi tigopesa float ama ikazidi mpesa au kwenye airtel kutegemeana na mteja katoa kiasi gani kwenye laini IPI au kaweka kiasi gani kwenye laini IPI so kuifanya kazi ya uwakala kuwa liquidity na ili laini ya uwakala hasa tigo ufikishe kwa siku 30000+ hapo tambua kuwa ulianza kazi SAA 11 na umefunga SAA 4 za usiku na wateja walikuwa wanatoa frequently kila dakika tangu unafungua mpaka unafunga jambo ambalo kwenye miamala ya kipesa haliwezekani hasa kwa usalama yaani laini ya tigopesa kama kweli wewe unafanya kazi zaidi kwa mwezi haiwezi kuzidi commision 600000 hapo kwa dar laikini ukienda mikoani ndo utaambulia commission kati ya 100000-250000mwaga ukweli wako hapa, sio huyu kadanganya, tatizo mnafanya biashara hii kwenye poor location
thanks to god the almighty
mimi naifanya hiyo business, inalipa sana goli likiwa sehemu yenye mzunguko mkubwa sana wa watu, mtaji wa wastani kwa kuanzia uwe na total M 2 ambapo flot tgo weka 500k, voda 350k na airtel 150 k mkononi cash unabaki na M 1.
I can tell you ukiwa eneo lililochangamka hukosi M 1 kwa mwezi, mimi nina magoli matatu (mabanda nimeyatengeneza kisasa) na yote yapo mtaa mmoja, banda moja lililochangamka sana linanipa si chini ya 1.7 m kwa mwezi hapo nina wadada wawili wa kazi, goli la pili lipo kawaida ila huwa sikosi M 1 kwa mwezi hapo mtu wa kazi yupo mmoja na la tatu nmelianzisha mwaka huu kipato chake bado hakijawa stable ila wateja wanazoea zoea nadhan, ila huwa sikosi 600k
thanks to god the almighty
Nilimuona maeneo huyo Dada anaomba kazi ya ualimu wa chekechea radicalsKwa mtaji wa 2M usidanganye watu hutengenezi 1M hivihvi
sikudanganyi brother, mimi laini ya tigopesa kwenye hilo goli lililochangamka huwa sishuki chini ya 800k na bonus zao wanazotoaga za laki 2 hadi 3 huwa nalamba zote. mwezi uliovunja rekodi ni december, tigopesa pekee niliingiza 1.25mKwanza hii biashara hainaga eti weka kiasi Fulani kwenye till ya mpesa,au weka kiasi Fulani tigopesa na cash uwe nazo kadhaa hamna kitu hicho kwani unaweza ukaenda kazini ukiwa na cash tu na wateja wakatoa ukapata float pia muda mwingine yaweza kuzidi tigopesa float ama ikazidi mpesa au kwenye airtel kutegemeana na mteja katoa kiasi gani kwenye laini IPI au kaweka kiasi gani kwenye laini IPI so kuifanya kazi ya uwakala kuwa liquidity na ili laini ya uwakala hasa tigo ufikishe kwa siku 30000+ hapo tambua kuwa ulianza kazi SAA 11 na umefunga SAA 4 za usiku na wateja walikuwa wanatoa frequently kila dakika tangu unafungua mpaka unafunga jambo ambalo kwenye miamala ya kipesa haliwezekani hasa kwa usalama yaani laini ya tigopesa kama kweli wewe unafanya kazi zaidi kwa mwezi haiwezi kuzidi commision 600000 hapo kwa dar laikini ukienda mikoani ndo utaambulia commission kati ya 100000-250000
Usitutisheeeeeee usitutisheee in maalimu seif voice
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu tunaomba msg moja ya hyo commission kama ushuhudamimi naifanya hiyo business, inalipa sana goli likiwa sehemu yenye mzunguko mkubwa sana wa watu, mtaji wa wastani kwa kuanzia uwe na total M 2 ambapo flot tgo weka 500k, voda 350k na airtel 150 k mkononi cash unabaki na M 1.
I can tell you ukiwa eneo lililochangamka hukosi M 1 kwa mwezi, mimi nina magoli matatu (mabanda nimeyatengeneza kisasa) na yote yapo mtaa mmoja, banda moja lililochangamka sana linanipa si chini ya 1.7 m kwa mwezi hapo nina wadada wawili wa kazi, goli la pili lipo kawaida ila huwa sikosi M 1 kwa mwezi hapo mtu wa kazi yupo mmoja na la tatu nmelianzisha mwaka huu kipato chake bado hakijawa stable ila wateja wanazoea zoea nadhan, ila huwa sikosi 600k
thanks to god the almighty
sikudanganyi ndugu, ukiwa eneo lililochangamka mawakala wakuu wanakuhudumia muda wowote, unaweza ukapata mteja wa M 3, wakakutumia float afu ukawapelekea cash, ndio maana nimewaambia biashara hii inahitaji sehemu iliyochangamka sanaKwa mtaji wa 2M usidanganye watu hutengenezi 1M hivihvi
yule ni dada yako alikuwa hana jf app akaniomba nimuombee kazi humuNilimuona maeneo huyo Dada anaomba kazi ya ualimu wa chekechea radicals
Sent using Jamii Forums mobile app
nadhan mawakala watatupa uzoefu ktk hiliYaani ni kiasi gani kinatakiwa kuanza nacho kama mtaji, na faida yake ikoje , na ni maeneo gani mazuri ya kuweka ofisi?
Na vipi kuhusu madhara yake.
safi mkuu, bahati mbaya sms huwa nazifuta , maana simu huwa inajaa sana.. ila naahidi, nitakupm sms mwez ujao
sasa kumbe unakiri inawezekana kupata M 1Radicals tuambie hayo magoli yako yapo location ipi. Mimi naifanya hii kazi na goli langu 1 lipo Mbagala Rangi 3 stand mle ndani. Usitutishe. Mle napata hadi 1m.
Sent using my Nokia Torch
.Radicals tuambie hayo magoli yako yapo location ipi. Mimi naifanya hii kazi na goli langu 1 lipo Mbagala Rangi 3 stand mle ndani. Usitutishe. Mle napata hadi 1m.
Sent using my Nokia Torch
Ahsante kwa ushauri mzuri...mimi naifanya hiyo business, inalipa sana goli likiwa sehemu yenye mzunguko mkubwa sana wa watu, mtaji wa wastani kwa kuanzia uwe na total M 2 ambapo flot tgo weka 500k, voda 350k na airtel 150 k mkononi cash unabaki na M 1.
I can tell you ukiwa eneo lililochangamka hukosi M 1 kwa mwezi, mimi nina magoli matatu (mabanda nimeyatengeneza kisasa) na yote yapo mtaa mmoja, banda moja lililochangamka sana linanipa si chini ya 1.7 m kwa mwezi hapo nina wadada wawili wa kazi, goli la pili lipo kawaida ila huwa sikosi M 1 kwa mwezi hapo mtu wa kazi yupo mmoja na la tatu nmelianzisha mwaka huu kipato chake bado hakijawa stable ila wateja wanazoea zoea nadhan, ila huwa sikosi 600k
thanks to god the almighty
Thank you sir for appropriate advice...stay blessedUshauri mwingine naoweza kukupa, nenda kasajili laini za uwakala kwa majina yako mwenyewe, usinunue laini za mtaani utakuja kuleta kilio humu
Ili uzipate laini kwa majina yako, mtafute wakala mkuu kwa tigo na voda ,kwa aitel money nenda airtel shop. hapa watahitaji copy ya leseni ya biashara, copy ya kitambulisho, copy ya tin namba na passport size mbili for each case.
Ila utazisubiri ndani ya mwezi 1 hadi 2, ingawaje sisi wakongwe huwa tunapita shortcut ili kuzipata haraka ndani ya siku 2
thanks to god the almighty
Hapo sawa! Hyo in kweli kabisa. Tatizo apa watu wanabisha wakati ww mwenyewe ndo unaPractice hyo business! WanaObisha wanaskia tU taarifa kutoka kwa watUferry kigamboni, karibu na wewe ufungue goli lako, kuna watu nyomi wanaovuka, kuna chuo pale, stendi......kiufupi kuna mzunguko mkubwa wa watu
thanks to god the almighty