ikiumasema
JF-Expert Member
- Oct 9, 2015
- 923
- 1,299
Mkuu hii biashara nilishawahi ifanya kidogo.....ni hivi kwa kila muamala kuna % unapata kama commision yako na hiyo ndio faida yako....mtu akitoa milioni moja kwa wakati mmoja kile kiasi anachokatwa mteja na ww unapata % yako....so wapo wanaotoa buku tano wanaoweka pia kuna % unapata so kwa mchanganyiko wa watej na wanavyokuwa wengi ndio unamake faida nzuri mkuu....hivyo tuKwa maana hiyo viwango havipo katika interval kwa kila hela utakayomuwekea mteja si ndio...?
Yaani natamani niendelee kukuuliza ila nahisi kama nitakuwa nakukwaza mkuu kutokana na ulivyonijibu hapo awali.
Mkuu hii biashara nilishawahi ifanya kidogo.....ni hivi kwa kila muamala kuna % unapata kama commision yako na hiyo ndio faida yako....mtu akitoa milioni moja kwa wakati mmoja kile kiasi anachokatwa mteja na ww unapata % yako....so wapo wanaotoa buku tano wanaoweka pia kuna % unapata so kwa mchanganyiko wa watej na wanavyokuwa wengi ndio unamake faida nzuri mkuu....hivyo tu
Commission ni 0.15% ya kiasi kiasi unacho toa cash. Na 0.1% ya kiasi unacho pokea kama float.Nafkiri kama bado sijaeleweka vizuri au labda mie ndio nashindwa kuwaelewa vizuri.
Ebo…kwani ungekuwa hajazifuta ungerusha kweli hizo sms!? Yy aamini kama anaamini vinginevyo apotezee!safi mkuu, bahati mbaya sms huwa nazifuta , maana simu huwa inajaa sana.. ila naahidi, nitakupm sms mwez ujao
thanks to god the almighty
Hapa unamaanisha kuwa mteja amekuja amerusha balance kwenye simu yangu kama wakala then nikampa cash, right.Commission ni 0.15% ya kiasi kiasi unacho toa cash.
Na hapa sijaelewa kwa sababu mteja alipokuja mwanzo akataka kutoa si amenirushia float nikampa cash, sasa hiyo ya pili iweje tena nipokee float kwa nini isiwe mteja kaja na hela cash halaf nikamuwekea balance kwenye simu yake...?Na 0.1% ya kiasi unacho pokea kama float.
Kuna kupokea na kutoa kwenye biashara hiyoHapa unamaanisha kuwa mteja amekuja amerusha balance kwenye simu yangu kama wakala then nikampa cash, right.
Na hapa sijaelewa kwa sababu mteja alipokuja mwanzo akataka kutoa si amenirushia float nikampa cash, sasa hiyo ya pili iweje tena nipokee float kwa nini isiwe mteja kaja na hela cash halaf nikamuwekea balance kwenye simu yake...?
Anyway, labda niweke hivi, zoezi langu kubwa litakuwa kwenye kuweka float kwenye simu yangu na kuwarushia watu waliopo site, it means ofisini huwa tunapata tabu ya kwenda mbali kuwarushia hela watu waliopo site, kama mwezi huu uliopita mimi binafsi nilituma zaidi ya milioni 18,yaani napewa hela naenda kwa wakala nawatumia hao wafanyakazi.
Sasa hiyo ni mimi tu, lakini kuna wengine huwa wanapewa pia kwenda kuwatumia wengine kwa hiyo kazi itakuwa ni kwenye kuweka float na kuwarushia watu wa site, that's why kwa kila 1mil nikimtumia mteja kwenye simu yake mimi kamisheni yangu inakuwa kiasi gani, hilo ndio swali langu wakuu.
Nisameheni sana kwa usumbufu aisee ila yote ni katika kutaka kujifunza zaidi kuliko kujifanya nimeelewa then nikakaa kimya halaf kumbe sijaelewa chochote it doesn't make sense.
Kuna kupokea na kutoa kwenye biashara hiyo
Ukitoa cash ukampa customer = 0.15%
Mteja akikupa cash= 0.1
Sawa lkn kwa nilivyomuelewa alimaanisha in total. Ukiadd up gawio kutoa M PESA, TIGO PESA NK ndio anafikisha 1.7M per month kitu ambacho kwa maelezo yake kinaweza tokea tuKwanza hii biashara hainaga eti weka kiasi Fulani kwenye till ya mpesa,au weka kiasi Fulani tigopesa na cash uwe nazo kadhaa hamna kitu hicho kwani unaweza ukaenda kazini ukiwa na cash tu na wateja wakatoa ukapata float pia muda mwingine yaweza kuzidi tigopesa float ama ikazidi mpesa au kwenye airtel kutegemeana na mteja katoa kiasi gani kwenye laini IPI au kaweka kiasi gani kwenye laini IPI so kuifanya kazi ya uwakala kuwa liquidity na ili laini ya uwakala hasa tigo ufikishe kwa siku 30000+ hapo tambua kuwa ulianza kazi SAA 11 na umefunga SAA 4 za usiku na wateja walikuwa wanatoa frequently kila dakika tangu unafungua mpaka unafunga jambo ambalo kwenye miamala ya kipesa haliwezekani hasa kwa usalama yaani laini ya tigopesa kama kweli wewe unafanya kazi zaidi kwa mwezi haiwezi kuzidi commision 600000 hapo kwa dar laikini ukienda mikoani ndo utaambulia commission kati ya 100000-250000
Usitutisheeeeeee usitutisheee in maalimu seif voice
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu mimi nahisi nimekuelewa zaidi unachotaka...nimeelewa kuwa kutokana na kazi unayofanya mmekuwa mkiwatumia hela watu walio site na ni hela nyingi so umeona uitumie iyo kama fursa badala ya kwenda kwa wakala uwe na line yako ya uwakala ili iyo miamala uwe unafanya mwenyewe na kupata faida...mimi sio mtaalamu wa mambo hayo but nilivyomwelewa jamaa hapo juu ukiwa na iyo line ya uwakala utakuwa kila ukimwingizia milioni moja mtu aliye site wewe faida yako ni 0.1 ambayo ni sawasawa na 1000....kwa ushauri wangu mkuu hizi biashara zina faida kama kuna mzunguko mkubwa wa watu wanaoingiza na kutoa pesa...ni vyema kama unabiashara nyingine ongezea na hizi huduma ili hiyo tender ya kuwatumia watu pesa site utakuwa unaipa iyo ofisi yako ya biashara...kama huna biashara unaweza anzisha na kuweka hii huduma...hii itawawezesha na watu wengine kutoa na kuingiza pesa kwenye biashara yako na si kutegemea tu faida ya miamala ya kuwatumia watu pesa siteHapo sasa nimekuelewa vyema kabisa kiongozi wangu. Thanks a lot mkuu.
Mkuu mimi nahisi nimekuelewa zaidi unachotaka...nimeelewa kuwa kutokana na kazi unayofanya mmekuwa mkiwatumia hela watu walio site na ni hela nyingi so umeona uitumie iyo kama fursa badala ya kwenda kwa wakala uwe na line yako ya uwakala ili iyo miamala uwe unafanya mwenyewe na kupata faida...mimi sio mtaalamu wa mambo hayo but nilivyomwelewa jamaa hapo juu ukiwa na iyo line ya uwakala utakuwa kila ukimwingizia milioni moja mtu aliye site wewe faida yako ni 0.1 ambayo ni sawasawa na 1000....kwa ushauri wangu mkuu hizi biashara zina faida kama kuna mzunguko mkubwa wa watu wanaoingiza na kutoa pesa...ni vyema kama unabiashara nyingine ongezea na hizi huduma ili hiyo tender ya kuwatumia watu pesa site utakuwa unaipa iyo ofisi yako ya biashara...kama huna biashara unaweza anzisha na kuweka hii huduma...hii itawawezesha na watu wengine kutoa na kuingiza pesa kwenye biashara yako na si kutegemea tu faida ya miamala ya kuwatumia watu pesa site
Yupo dada ana mtaji wa M2 na faida anapata laki 4. Yupo kwny lango la hospital....[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Mimi nilijua peke yangu ndio nmeshangaa kumbe tupo wengi tunaoshangaa.
Halaf jamaa inaonekana hajui kabisa na wala hajawah kufanya biashara.
Milioni 2 ni mtaji mdogo sana kuweza kupata faida hata ya laki 3.
Maana kwa huo mtaji wakija wateja watatu tu kutoa pesa unaishiwa cash.
zap ndo nn naomba kuijuaDuh! mkuu it seem hapo mtaani kwako kuna opportunity sana, kutokana na maelezo yako mafupi kuna fedha zimezaga sana hapo. Kwanini usifanye hivi, pata kama Laki 3 or 5. Then weka Tigo pesa elf 50, Zap laki, the rest M-Pesa. Halafu weka bango la huduma ya M-Pesa, Zap, Tigo na LUKU. Kumbuka subject kubwa ni LUKU na M-PESA.
Let the charges for M-Pesa remain constant as per maelezo utakayo pata from wahusika. Kuhusu kuuza LUKU tumia Zap, umeme wa 1000-3000 charge 300, umeme wa 4000-9000 charge mia tano, umeme wa 10000-14000 charge elf, 15000-20000 charge 1500, na 21000 and above 2000
In most cases utakuta kwamba katika laki moja you make a profit of elfu 10 within a few hours. Kama mtaani kwako kuna demand kubwa ya Luku you will make alot of money. Ila you have to make sure that unapata mtu wako wa karibu Airtel so that whenever you need Zap anakurushia halafu unampelekea pesa yake kama mtakavyo elewana. Also make sure you become an agent wa Airtel, watakupa line special.
Normally M-Pesa inasumbua sana wakati wa kununua Luku don't use it kabisa, just use Zap it is the best.
Mtaji ni kuanzia laki tano tu unapata lainiWazo kama langu,wadau tujuzeni laini za uwakala kwa tgo na m_pesa ni tsh ngap?
Za kununua mtaani tsh ngapi? Athari zake pia n.k
Biashara mwenza katika vibanda hv vya uwakala ni zp/ipi inafaa kuongezwa n.k
Mtaji kwa uwakala wa tgo na voda,Minimum kianzio kiwe ngapi bila kusahau faida na changamoto za hii biashara.
Natanguliza shukrani na mm,sorry kwa kudandia uzi...