Fahamu kuhusu kuanzisha biashara ya Mobile Money (M-Pesa, Tigopesa)

Fahamu kuhusu kuanzisha biashara ya Mobile Money (M-Pesa, Tigopesa)

Nani kwa kuambia? Hizi huduma hazina muda mrefu sana asikudanganye mtu.
Hii ndo sekta yangu sitatia neno but nikukosoe uliyesema ilikuwa zaman mim nasema haitakufa na itazid kuchanua na niende mbali zaid nikwambie kuwa ndio biashara pekee Tanzania unayoweza kuifanya leo kwa milioni mbili na kesho ukaifanya kwa million mia mbili bila presha wala stress

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mm pia nina ka-20m nahitaji sana kuijua hii biashara kwa undani...na napenda niifanyie kariakoo.
 
Hi

Jamani kwa anaefahamu mambo ya hii mitandao kuhusu kuweka na kutoa pesa (UWAKALA)

Nafikiria kuanzisha mambo ya M PESA, TIGO PESA, AIRTEL MONEY, HALOPESA nk

Lakini sijajua malipo yao yakoje.

Kwa mwenye elimu juu ya hili naomba ufafanuzi tafadhali.
Fungua bar tu tafuta eneo zuri weka pesa Kila Leo walev wanaongezeka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii ndo sekta yangu sitatia neno but nikukosoe uliyesema ilikuwa zaman mim nasema haitakufa na itazid kuchanua na niende mbali zaid nikwambie kuwa ndio biashara pekee Tanzania unayoweza kuifanya leo kwa milioni mbili na kesho ukaifanya kwa million mia mbili bila presha wala stress
Acha uongo wewe jamaa..au unataka umuuzie line?
 
Inategemea na eneo unapoishi, kuna maeneo watumiaji wengi ni M pesa, kwingine TIGO au Airtel money...kama ndio unaanza basi ungeanza na ule mtandao wenye watumiaji wengi na kadri siku zinavyoenda unaongeza mtaji na laini.
 
Acha uongo wewe jamaa..au unataka umuuzie line?
😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁Mkuu umenifurahisha sana nia yangu ingekuwa kuuza line au Till ningemwambia aje inbox kwa ufupi Mtui umenikosea lakini ndio sehem ya mjadala sitategemea positivity from ev'rybody but wanaofanya hii biashara kiundan wananielewa kuliko outsiders. Some people know nothing about this biz and they pretend to be aware of it.
 
Nani kwa kuambia? Hizi huduma hazina muda mrefu sana asikudanganye mtu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Murusi sitaki ubishi kama ule wa Messi na CR7 au siasa za akina fulani na fulan lete hoja za msingi refering to WB and IMF projections in 50 years to come halafu utaelewa kuwa hukuwa na knowledge kichwan kuhusu hii kitu kabla hujanijibu.
 
Back
Top Bottom