busy bees
JF-Expert Member
- Aug 26, 2016
- 2,249
- 1,340
Hakika ... maana kwa wenye BUSARA JF ni mkombozi katika nyanja nyingi sanaJf idumu daima
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakika ... maana kwa wenye BUSARA JF ni mkombozi katika nyanja nyingi sanaJf idumu daima
Ndo nn hizo kiongozi?
Wakuu wale mnaonitafuta kwenye simu kama hutanipata kwa simu ya kawaida mnaweza kunipata kwa whtsp call ninatoka Nje ya mipaka ya Nchi yetu baada ya muda mfupi. pia waweza tumia namba hii +265992936221.View attachment 678475 yako Mengi sana kwa bei tofauti itategemea na uwezo wako kifedha na maamuzi yako katika kutumia
yapo yanayotengenezwa Zanzibar yako ya Dubai pakstani na India.
Ushauri wa bure kwa wale ambao wanataka kuyatumia kwa kunywa tafadhari hakikisha unapata mafuta halisi. Sabbu mwili wako waweza kuwa na thamani zaidi ya pesa unayotaka kuiokoa.!
wanaoshughulika na biashara hii ya mafuta ya habatsoda au blackseeds oil wanafahamu vema jambo hili.
pia waweza kuyapata kwa kutumia namba hii 255752995192 call au whatsp.
Real & fake .... tumekwishaView attachment 678597 tofautisha mwenyewe kisha nunua kwa mujibu wa ufahamu wako moja ni halisi nyingine ni copy.
Tatizo sio Nchi tatizo ni ukweli na biashara.! Hata ungesema yanatoka mbinguni bado watu watatengeneza copy ya hukohuko mbinguni na utanunua tu.Naomba kama hutajali tufahamishe yanayo toka nchi gani ndio halisi
Mie nimejaribu kuwa SMART kama ulivyomshauri huyo ... so naamini hapo katika "avatar" yako ni mfano wa yale ambayo ni "halisi" ...Tatizo sio Nchi tatizo ni ukweli na biashara.! Hata ungesema yanatoka mbinguni bado watu watatengeneza copy ya hukohuko mbinguni na utanunua tu.
just be smart.!
Kwa Arusha nimeulizia duka moja la kiislamu linalouza dawa za asili nikaambiwa bei hiyohiyo lakini yameishaHayo Mafuta Kariakoo Yapo Tele Bei Ni 5000 Pia Yapo Makubwa 8000
Wenyewe Kwenye Maduka Ukiulizia Utaulizwa Unataka Oil Ama Iliyosagwa
Maduka Yanayouzwa Dawa Za Kisuni
Shimoni Kariakoo
Ya kulia ndio original kwa kuangalia ujazoView attachment 678597 tofautisha mwenyewe kisha nunua kwa mujibu wa ufahamu wako moja ni halisi nyingine ni copy.
ni vdonge vya ayo mafuta ya habat soda
Kwa Arusha nimeulizia duka moja la kiislamu linalouza dawa za asili nikaambiwa bei hiyohiyo lakini yameisha
Chupa kubwa Tsh 8,000
Chupa ya kati Tsh 6,000-6500
Na chupa ndogo Tsh 5,000-5,500
Ya kulia ndio original kwa kuangalia ujazo
Au unaonaje maana hiyo iliyojaa haikidhi ubora
Kama bado hujayapata check msikiti ulioko karibu na soko kuu kwa nje huwa wanayauza bei hizo hizo.Kwa Arusha nimeulizia duka moja la kiislamu linalouza dawa za asili nikaambiwa bei hiyohiyo lakini yameisha
Chupa kubwa Tsh 8,000
Chupa ya kati Tsh 6,000-6500
Na chupa ndogo Tsh 5,000-5,500