getrusa
JF-Expert Member
- Aug 16, 2013
- 2,150
- 1,822
Unayahitaji kwa matumizi gani? Kunywa .. au kupaka?
Kwa Arusha nimeulizia duka moja la kiislamu linalouza dawa za asili nikaambiwa bei hiyohiyo lakini yameisha
Chupa kubwa Tsh 8,000
Chupa ya kati Tsh 6,000-6500
Na chupa ndogo Tsh 5,000-5,500