Kwa Arusha nimeulizia duka moja la kiislamu linalouza dawa za asili nikaambiwa bei hiyohiyo lakini yameisha
Chupa kubwa Tsh 8,000
Chupa ya kati Tsh 6,000-6500
Na chupa ndogo Tsh 5,000-5,500
Wala hata sio bei kubwa kulingana na faida yakeMkuu unaweza kupata hata chini ya hiyo bei kumbuka ni soko huria na hiyo bidhaa inatakiwa sana na watumiaji.
Wataalam wa uchumi wanajua kadri uhitaji unavyokuwa mkubwa ndivyo pia kunavyotokea changamoto sokoni.
Uamuzi sasa wa kununua kipi unabaki kwenye akili yako maamuzi yako na pesa yako.
Unayahitaji kwa matumizi gani? Kunywa .. au kupaka?
Poa mkuu,,,,, kinga ni bora kuliko tibaKama bado hujayapata check msikiti ulioko karibu na soko kuu kwa nje huwa wanayauza bei hizo hizo.
kuna mtu naona anauza elfu 30...au ndo upigaji wenyewe huu??Hayo Mafuta Kariakoo Yapo Tele Bei Ni 5000 Pia Yapo Makubwa 8000
Wenyewe Kwenye Maduka Ukiulizia Utaulizwa Unataka Oil Ama Iliyosagwa
Maduka Yanayouzwa Dawa Za Kisuni
Shimoni Kariakoo
Huo Lazima Utakuwa Upigajikuna mtu naona anauza elfu 30...au ndo upigaji wenyewe huu??
Huku kwetu kichupa Kama Cha amoxicillin syrup Ni sh.elfu 3000/=Shing ngapi?
Mh Ni elfu 3000/=mkuukuna mtu naona anauza elfu 30...au ndo upigaji wenyewe huu??
Yanatibu mkuu.unaongelea NGUVU ZA MKANDAMIZO?Hapo kuna ugonjwa mmoja sijauona. Yangetibu na huo, ungepiga mawe Mkuu.
Ha ha ha bila Shaka atakua alimaanisha hiyo hiyo nguvu ya mkandamizo!!!!Yanatibu mkuu.unaongelea NGUVU ZA MKANDAMIZO?
Mkuu kwani wewe binafsi ushawahi tumia hayo mafuta?Yanatibu mkuu.unaongelea NGUVU ZA MKANDAMIZO?
Niliyatumia kwa tatizo jingine la kiafya ila SI la "mkandamizo"Mkuu kwani wewe binafsi ushawahi tumia hayo mafuta?
Ha ha, Aiseee sawa mkuu!! Mi nayasoma humu humu JF!Niliyatumia kwa tatizo jingine la kiafya ila SI la "mkandamizo"
Huo Lazima Utakuwa Upigaji
Maana Hayana Ujazo Wa Lita Hata Moja Ama Robo
poa wakuuMh Ni elfu 3000/=mkuu
Vinapatikana wapi?radha yake imenishinda.ni vdonge vya ayo mafuta ya habat soda